Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti anasema "kuna rafiki yangu"Acha pombe kwanza mkuu, yaani umemaliza dozi leo leo unawaza pombe [emoji16]
Hii ni WEWE kabisa, SEMA moyo wako NDIO unauiita Rafiki YakoNa Imani mko poa kuna rafiki yangu hapa katumia Antibiotic inaitwa Cefadroxil anasema kamaliza Dose mchana je inakaa kwenye mwili masaa mangapi ili aendee kunywa Pombe
[emoji120]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] marafiki na ndugu huwa wanabeba sana mizigo yetu. Yaani ukiona kisa kinaanza na " kuna ...... yangu" jua mhusika ni yeye mwenyeweEti anasema "kuna rafiki yangu"