Ukimaliza kutumia computer ya public futa vitu vyako na logout kwenye akaunti yako

Ukimaliza kutumia computer ya public futa vitu vyako na logout kwenye akaunti yako

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Ni muhimu kukumbuka kuacha computer inayotumiwa na wengi ikiwa safi na vilevile taarifa zako zikibaki kwenye account yako bila kujulikana kwa wengine.

Nimetoka kwenye stationery moja mitaa ya Ubungo karibu na hostel za chuo kikubwa zilizojengwa kwa matofari ya kuchomwa.

Kuna mdau ameacha kila kitu sebuleni tena mezani bila kufunika, ikumbukwe kuna watoto wa shule wanakwenda humo pia.
 
Kwahiyo vitu vyooote alivyoacha hicho ndio umeona cha maana kuleta JF. Utoto raha sana, asbh yooote hiii ashashiba kiporo cha wali maharage anawaza pumba tu sasa aya subir Chaputa wenzako watakushukuru baadae.
 
Ni muhimu kukumbuka kuacha computer inayotumiwa na wengi ikiwa safi na vilevile taarifa zako zikibaki kwenye account yako bila kujulikana kwa wengine.

Nimetoka kwenye stationery moja mitaa ya Ubungo karibu na hostel za chuo kikubwa zilizojengwa kwa matofari ya kuchomwa.

Kuna mdau ameacha kila kitu sebuleni tena mezani bila kufunika, ikumbukwe kuna watoto wa shule wanakwenda humo pia.
Kiukweli vijana wetu, tena walioko vyuo vikuu, ni shidaa, mimi huwa naikuta mara nyingi sana hii kitu, mtu anaondoka bila ku log out, Mpaka unajiuliza hawa wasomi watarajiwa wana shida gani??
 
Kiukweli vijana wetu, tena walioko vyuo vikuu, ni shidaa, mimi huwa naikuta mara nyingi sana hii kitu, mtu anaondoka bila ku log out, Mpaka unajiuliza hawa wasomi watarajiwa wana shida gani??
Nimeona mtumiaji mmoja alikuwa ana exchange picha za inner most practices za mambo wanayofanya na mpenzi wake
 
Kwahiyo vitu vyooote alivyoacha hicho ndio umeona cha maana kuleta JF. Utoto raha sana, asbh yooote hiii ashashiba kiporo cha wali maharage anawaza pumba tu sasa aya subir Chaputa wenzako watakushukuru baadae.
🖕
 
Back
Top Bottom