Ukimchukua mke wa mtu wewe ni kifo

Ukimchukua mme au mke wa mtu, hata kama ni kwa siri wewe si binadamu bali ni KIFO. Maana kwenye kiapo walisema atakayeweza kuwatenganisha ni KIFO TU. Sasa unapowatenga ujue kabisa wewe ni KIFO
That simple? [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji490] [emoji490] [emoji490] [emoji490] [emoji490] [emoji490] [emoji484]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…