Alafu hommie bahati ka izi cjui mie zinanipitia wapi! Yaani unakimbia mbunye ivi ivi!Ni lazima!
Yaani ndugu yangu umeachia kitu imekuja yenyewe asee? Kweli tumeumbwa tofauti. Hebu nirushie contacts zake tafadhali.:love:
ma bro mangi! lyfe la sasa hivi sio la kuaminika kihivyo, kwangu wacwac lazima aisee ukiangalia vishawishi vyenyewe ndio kama hivyo kwa kuwa nakupoenda lazima niwe na wac wac jamani, sasa wachana na huyo binti kabisa, no lunch no dinner..promic?
Dating is a form of courtship, and may include any social activity undertaken by, typically, two persons with the aim of each assessing the other's suitability as a partner in an intimate relationship or as a spouse.
There you are Nyamayao! Yaani naona kuna cku atanibaka. Itakuwa mazoea ya lunch cjui nini mara karibu nyumbani,,,, mwisho napiga kelele kama hutaki. Demu ana ka miezi sita tangu arejee toka UK masomoni. Nakushukuru sana Nyamayao kwa ushauri
wewe ungesikia mkeo kaja kuchukuliwa lunch na jamaa wakaenda sehemu kwa gari ya jamaa ungejiskiaje?
Eeka ..............wanawake waloishi mamtoni ogopa....kumtokea mtu hawaoni deal kwa sababu huko nje ni kawaida tu.
sasa wewe unapiga story za urafiki yeye anafikiri namna mtakavyo match kwenye sita kwa sita.........eeeewww
Kama lunch hakuwa na tatizo,je ulivyokwenda dinner alikuwa anajua?Kama kanipa taarifa kuwa anaenda lunch na rafiki zangu hamna tatizo. Kwa taarifa tu mke wangu yuko jirani na ofisini kwangu pia. Na moja ya siku hizo alikuwepo kwenye lunch na huyo demu na mimi. Anajua kinachoendelea haikuwa SIRI na sikuwa na lengo lolote.
Bwa bwa bwaaaaaaaaaaaaaaaa! Kha mie mshamba ndo sms alonitumia sasa hivi. Kasema washamba ambao wamekulia mgombani ndivyo walivyo. Eti hajui naringia nini! lol
Kama lunch hakuwa na tatizo,je ulivyokwenda dinner alikuwa anajua?
kwani hujawahi toka nje ya uwanja wako hata mara moja?au huyu kuna kasoro uliyogundua ndo unamwanika hapa mbona hao wengine hujatuanikia hapa.subiri akikubaka njoo hapa umshtaki tumchape vibokoTatizo letu ndo hilo. Je wewe nikikukuta na mwanaume kwenye gari ni hawara yako? Tufunguke akili na tusihukumu Nyamayao!
ahaha kwani hujakulia mgombani? :love:
huyu dada mie nilijua ameisoma vizuri phylosophy ya ulaya/marekani ya kumtokea mtu...............akikutosa unaachana nae tu, unatafuta mwengine kumbe hata huo 'uzungu wa kulazimishia' hakuupata
au labda mwenzetu ni super hunk! :spy:
kwani hujawahi toka nje ya uwanja wako hata mara moja?au huyu kuna kasoro uliyogundua ndo unamwanika hapa mbona hao wengine hujatuanikia hapa.subiri akikubaka njoo hapa umshtaki tumchape viboko