babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
yaani wewe uko km mimi huyu demu unampiga bonge la sign kisha unatokomea vibaya sana,kulinda heshima.Alafu hommie bahati ka izi cjui mie zinanipitia wapi! Yaani unakimbia mbunye ivi ivi!
yah mambo kama hayo jiandae nayo we utakimbiaje nyuchi bana,tena mda si mrefu atakutangazia we bwabwa.:help:Bwa bwa bwaaaaaaaaaaaaaaaa! Kha mie mshamba ndo sms alonitumia sasa hivi. Kasema washamba ambao wamekulia mgombani ndivyo walivyo. Eti hajui naringia nini! lol
Wandungu habari za weekend!
Hebu nijuzeni, hivi ama mwanamke au mwanaume akimdate mtu ni lazima wakamegane? Nauliza hivi maana kuna mdada mmoja kahamia ofisi ya karibu na kwangu (meaning ofisi yake iko jengo moja niliko na ofisi) Kwa takribani mwezi sasa alikuwa mchangamfu sana kwangu. Last week on saturday akanikaribisha chakula cha mchana. Nikaenda kwa sababu sikuona ubaya. Akanipitia na gari yake. We had a very good lunch. On monday morning she pass by my office and say hi! Well sikuona mbaya. From that day haishi kutaka kwenda ama luch au dinner au kinywaji na mimi! Jana kanikuta corner na jamaa zangu tunakunywa na kula. Kajichanganya na company. Baada ya mvinyo kidogo kaniambia wazi ananipenda na anataka tukamege tunda jana hiyo. Nilitumia akili ya ziada kumtoroka. Gari ilibidi niiache nitoroke na TAXI. Leo saa hii kaja kafura ka nini! Kaniangalia kwa jicho kali hilo sijapata kuona akaondoka zake. Sasa najiuliza kwani lazima kudinyana na damu au man mkipeana lunch sijui dinner ama kilauri?
sio lazima kabisa, huyo anasema anakupenda lakini sio kweli ni tamaa za kimwili zinamsumbua....ki ukweli wanaume zetu mnapata majaribu sana.
Hukuwa na haja ya kumkimbia bali ungemwambia ukweli tu kuwa huna hamu ya kufanya nae atakacho,hapo sasa umeanzisha chuki isiyokuwepo maana yeye alikuja pale kujumuika nanyi kwa kuwa wewe ulikuwepo,so kumuacha pale na watu asiowajua haikuwa jambo la busara.
Tafuta namna ya kuishi nae na atambue tu kuwa kutoka na mtu lunch or dinner si kigezo cha kuanzisha mahusiano au kumegana kama alivyotaka,pia inawezekana nawe katika outing zenu umekuwa ukimpa maneno au viashirio nya kimapenzi bila ya wewe kujijua.
gud trek bro, i wish ma hb wetu wangeweza kukwepa vishawishi kama hiviAnasema alikimbia akaacha gari huo ni udhaifu uliokikithiri ina maana kama angeshindwa kukimbia au kumtoroka basi angemuhudumia haja yake. Cant u stand up firm like a man and luk at her face n say NO? mkeo alivyokuona umerudi bila gari alisemaje? au ulimdanganyaje?
Mimi aliwahi kunisumbua sana dada 1 alihitajigi ushauri wa mambo ya mazeozi nikamsaidia alihitaji namna ya kupunguza unene na kweli mwili wake ukapungua basi akadai anataka kunishukuru siku moja akanitamkia kwamba I may request whatever nikamtolea macho makali nikamwambia aah kumbe basi nipe hapa hapa na ilikuwa mbele ya watu na nikamsogelea kama vile kweli nataka kumvua nguo tangu siku hio mpaka leo heshima simtank
Wandungu habari za weekend!
Hebu nijuzeni, hivi ama mwanamke au mwanaume akimdate mtu ni lazima wakamegane? Nauliza hivi maana kuna mdada mmoja kahamia ofisi ya karibu na kwangu (meaning ofisi yake iko jengo moja niliko na ofisi) Kwa takribani mwezi sasa alikuwa mchangamfu sana kwangu. Last week on saturday akanikaribisha chakula cha mchana. Nikaenda kwa sababu sikuona ubaya. Akanipitia na gari yake. We had a very good lunch. On monday morning she pass by my office and say hi! Well sikuona mbaya. From that day haishi kutaka kwenda ama luch au dinner au kinywaji na mimi! Jana kanikuta corner na jamaa zangu tunakunywa na kula. Kajichanganya na company. Baada ya mvinyo kidogo kaniambia wazi ananipenda na anataka tukamege tunda jana hiyo. Nilitumia akili ya ziada kumtoroka. Gari ilibidi niiache nitoroke na TAXI. Leo saa hii kaja kafura ka nini! Kaniangalia kwa jicho kali hilo sijapata kuona akaondoka zake. Sasa najiuliza kwani lazima kudinyana na damu au man mkipeana lunch sijui dinner ama kilauri?
Nooooo. Kanambia kabisa kuwa siku nyingi ananitamani na anataka niende kwake akanipe penzi. Nilimwambia hapana si sawa tuwe marafiki tu. Akaanza vurugu analia mara anasema namwonea mara sikumwelewa. Mbaya zaidi anelewa nina familia yangu. Hataki kuelewa hayo yeye alitaka hivyo alivyotaka. Kisingeeleweka jana hiyo ilibidi nikimbie. Sasa leo kaja na hilo jicho la kuua. Kudinyana naye nasema NOOOOOOOOOOOOOOO!
Sasa najiuliza kwani lazima kudinyana na damu au man mkipeana lunch sijui dinner ama kilauri?
Wandungu habari za weekend!
Hebu nijuzeni, hivi ama mwanamke au mwanaume akimdate mtu ni lazima wakamegane? Nauliza hivi maana kuna mdada mmoja kahamia ofisi ya karibu na kwangu (meaning ofisi yake iko jengo moja niliko na ofisi) Kwa takribani mwezi sasa alikuwa mchangamfu sana kwangu. Last week on saturday akanikaribisha chakula cha mchana. Nikaenda kwa sababu sikuona ubaya. Akanipitia na gari yake. We had a very good lunch. On monday morning she pass by my office and say hi! Well sikuona mbaya. From that day haishi kutaka kwenda ama luch au dinner au kinywaji na mimi! Jana kanikuta corner na jamaa zangu tunakunywa na kula. Kajichanganya na company. Baada ya mvinyo kidogo kaniambia wazi ananipenda na anataka tukamege tunda jana hiyo. Nilitumia akili ya ziada kumtoroka. Gari ilibidi niiache nitoroke na TAXI. Leo saa hii kaja kafura ka nini! Kaniangalia kwa jicho kali hilo sijapata kuona akaondoka zake. Sasa najiuliza kwani lazima kudinyana na damu au man mkipeana lunch sijui dinner ama kilauri?
Wakuu, nimesoma posts zote, ila kuna kitu sijakielewa naomba msaada!! Thread inasomeka; "UKIMDATE mtu ni lazima mka..............."
Labda tatizo langu ni hilo neno kwenye red, nijuavyo mimi ku-mdate mtu maana yake ni.................. Sasa naona hapa mara lunch, sijui dinner, mara kinywaji, nk. Please :help:
mie pia napata ugumu kuelewa hii post..Lakini kwa ule uwezo nilionao ..kwann wakati anaomba mkjibanjue usimwambie ukweli kama haumuhitaji?akinuna kivyake wewe umemwambia ukweli wako
Bwa bwa bwaaaaaaaaaaaaaaaa! Kha mie mshamba ndo sms alonitumia sasa hivi. Kasema washamba ambao wamekulia mgombani ndivyo walivyo. Eti hajui naringia nini! lol
sio lazima kabisa, huyo anasema anakupenda lakini sio kweli ni tamaa za kimwili zinamsumbua....ki ukweli wanaume zetu mnapata majaribu sana.