Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

500 kwenda Ngongo la mboto akiwa yuko wapi mkuu,maana naona umeandika kana kwamba wote tupo ulipo wewe
 
Povu povu povu
 
Nikimpata huyo niko tayar hata kutoa mahar mil. 20 ikipungua nakopa benk maaana hyo ntakua nimetumiwa direct from heaven.
 


WE nae cjui mshamba wa wapi....
Umekula maharagwe ya wapi wewe??????
Povu linakutoooka.........

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Mimi ninavyo ona hiki kipimo cha theory tu kimekupima tayari Mbona povu jingi ili hali ni maandishi tu na bado vitendo ,Mwenye macho kaona na kupima wewe ni Wife material au la?
 
Limekuchoma! Na ukitaka kujua nina mume na watoto watatu. Kaka yenu yuko very responsible. Ana provide vya kutosha haliilii kama ww
Kweli watu wanaowa na wewe una Mme? Kwa ulipokaji hivyo wa kuandka na Je kwa audio ni zaidi ya 72GB mtaani hawalali siku hiyo
 
[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] kwa hiyo wewe hutembelei ndugu wanaopikia kuni? kwenu Woote mna Gesi or electricity
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Na Namba ako lazma aifute au akuweke blacklist na atasimulia kwa marafiki zake wote badae sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…