Numbisa ni wanaume hao wanaotafuta dawa za nguvu, utafikiri wanataka kupambana na Simba.
Hahaha Sio mimiNimekubamba Mkuu! Ndo wewe?
Majibu yako kama yana ukweli hivi99% ya sisi wanaume tunasaliti kwa tamaa za kimwili tu..
Ukweli mchungu ni nyie wanawake mnasaliti kwa kumpenda kweli yule mnaechepuka naye.. Sijui kwa sasa ikoje!
Hiyo ndio sababu ukimfumania mwanamke usimsamehe wala usiendelee kuwa naye..ukifanya hivyo ni sawa na kulea kitu kitakachokuja kukudhuru!
27 Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;Ukimfumania mke wako katika mazingira yoyote na wakati huo hakukutaarifu kuwa alibakwa, katekwa ila amefika eneo LA tukio mwenyewe tena kwa kujipodoa, my bro it was planned piga chini hata kama umeoa mwezi uliopita
Samehe saba mara sabini,iko siku atatulia atakuwa wa kwako peke yako na utafurahia maisha,hao wanaokula hawachukui chochote wakichoka watakuachia.Ukweli mchungu:
Mwanamke ni MTU anayeingia mzima mzima kwenye mahabati kiasi kwamba hata iweje hawezi kuficha uhusiano wake wa mapenzi.
Mwanamke alieolewa akishapata mchepuko utajua tu. Manake ataibuka na kilo za dharau na majibu ya kuudhi sana.
Hasa pale mume anapoonekana kukosea jambo dogo sana.
Sometimes mume anaweza Dhani kua labda mke yupo yupo serious sana na maisha ya kileo. Akahisi kapata mke mwenye akili ya maisha. Kumbe mwanamke yupo katika level za kumchukia mumewe na kukosa uvumilivu baada ya kufurahia dodoki LA nje.
Ikitokea mume umemfumania mke, anaweza lia ama jitetea kua hata rudia. Ila ukweli ni kua ameshanogewa. Labda mume uhame mji. Ni lazima atarudia tu.
Kwanza msamaha kwa mwanamke huyu ni kama kufanya kosa LA jinai.
You will regret.
Atakua anajisifu jinsi anavyoweza kuku control. Na chuki yake itazidi
Cha msingi. Ukimfumania mwanamke Mara moja. Mpige chini. This is under ceteris paribus (when other things remain constant).
Uzoefu unaonyesha kua mwanamke ukimfumania Mara moja, IPO Siku utamfumania tena, na tena na tena.
No matter how hard you tried to make things better.
These are women. They never change.
Na kibano umpe heavyUpo sahihi makuu 100% mm binafs nipo katk hatua za kuowa nimeshagaramia kila kitu ila nikimfuma na mishe za kupigwa nje bas fasta napiga chini wala sijali lolote
Nimekupa maelezo hayo ili ujue kwamba asilimia kubwa ya wanaume wanasaliti kwa tamaa tu na wewe kama mwanamke unayo nafasi ya kumbadili mwanaume akaacha hizo tamaa na akabaki na wewe tu!hujajibu swali sema mara ngapi?
Ndio ukweli huo..Majibu yako kama yana ukweli hivi
Kudadadeki!Hahaha Sio mimi
I wondered what was wrong with youTatizo la wanaume walio wengi wanashindwa kujielewa kama mechi hawaziwezi.Na utaacha wengi kwa hicho kibamia chako. Yani niendelee tu kuwa na hamu isiyoisha. Ila pole kwa kumfumania bebe.
Hahahaha.... Taratibu watu wasisikie...Kudadadeki!
ndo maana siku Ile nikakwambia ulikua kazini! Kwa thread Ile mpwa wewe sio wa kuja kushangilia hapa!
Hahahahahaaaaaa....!
haya nakubari kishingo upande nilitaka specific answer, ila watanzania tuna sifa ya kujieleza sana ndo maana tunashindwa mihihani.Nimekupa maelezo hayo ili ujue kwamba asilimia kubwa ya wanaume wanasaliti kwa tamaa tu na wewe kama mwanamke unayo nafasi ya kumbadili mwanaume akaacha hizo tamaa na akabaki na wewe tu!
Kwahiyo hakuna haja ya kumuacha mtu aliyechepuka kwa tamaa tu.. Mrekebishe!
Ha haa inabidi nasie tuwarudishe kupisha uchunguziLazima urudishwe nyumbani kwanza ili usiingilie uchunguzi.
Kabisa wasamehe kama wanavosamehewa.Hao wanawake zenu malaika
Mnapaswa kusamehe kama wao wanavyowasamehe...
Njozi njema