EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Nzuri.Roho ngumu kama sisi huwa hatuanzishi vurumai kwa yeyote! Tena nikiwakuta nitawaomba samahani kwa kuwaingilia faragha!
Duuhila mapenzi [emoji119] alafu wakuu kitendo cha mume kumruhusu mchepuko kupokea simu ya mke wake hii imekaaje?
we jamaa kama kumbukumbu zangu ziko sawa ulisha wahi pokonywa mke na ukawa unasema alipo enda pamemkubali kanenepa kama mbuyu.Nakukadiria kama nakuweza nakupa kipigo ambacho hutokaa ukasahau maisha, kama sikuwezi nitafanya kila niwezalo kukutouΟΟbea mkeo
Mke wangu siwezi muacha nampenda sana
NB; najua siwezi kusalitiwa uzeeni huku kwani ujanani sikusalitiwa.
Nimeizungumzia kama changamsha kijiwe cha kahawa tu
Sio jambo la ajabu ndugu ndio sababu nikasema nakukadiria kama ninakuweza nakupa kipigo cha mbwa koko na kama sikuwezi bas nitafanya nini na naona kabisa sikuwezi sanasana nitakuachia uendelee naye tuwe jamaa kama kumbukumbu zangu ziko sawa ulisha wahi pokonywa mke na ukawa unasema alipo enda pamemkubali kanenepa kama mbuyu.
ama nimechanganya mambo
Ndio maana πHakuna mtu ambae atamfanyia mtu ubaya akati acha dunia bila kupata malipo yake.so sitoweza,sintoweza kabisa kupigana wala kugombana.
ila mapenzi [emoji119] alafu wakuu kitendo cha mume kumruhusu mchepuko kupokea simu ya mke wake hii imekaaje?
Ndo mana nini mkuuNdio maana π
siyo kweliRoho ngumu kama sisi huwa hatuanzishi vurumai kwa yeyote! Tena nikiwakuta nitawaomba samahani kwa kuwaingilia faragha!
Kama mimi tu aisee sina haja ya kupigana, kama kaamua huwezi kumlazimisha akupendeSisi wengine tukifumania tuna piga chini tunasonga mbele... Hakuna haja ya kusumbuana akili
Huyo ndio kakuchoka kabisaaaa hata usihangaike nae beba mizigo yako kaanze maisha mapya mbeleila mapenzi π alafu wakuu kitendo cha mume kumruhusu mchepuko kupokea simu ya mke wake hii imekaaje?
Kama mimi tu sihangaiki nahilo dumeNakinukisha kwa mpenzi sababu ana akili timamu.
Baada ya kukinukisha ndio utakuwa mwisho wa mapenzi yetu
Kweli mkuu? π πwe jamaa kama kumbukumbu zangu ziko sawa ulisha wahi pokonywa mke na ukawa unasema alipo enda pamemkubali kanenepa kama mbuyu.
ama nimechanganya mambo