Battor JF-Expert Member Joined Mar 21, 2019 Posts 1,964 Reaction score 3,496 Feb 22, 2025 #21 MAKANGEMBUZI said: Iko hivi kuna wale watu ukimpigia simu yahn ile mnaagana unamalizia tu kuongea keshakata simu na hapo umepiga wewe. Hawa watu huwa wana maana gani? Click to expand... Anamaanisha anathamini muda.
MAKANGEMBUZI said: Iko hivi kuna wale watu ukimpigia simu yahn ile mnaagana unamalizia tu kuongea keshakata simu na hapo umepiga wewe. Hawa watu huwa wana maana gani? Click to expand... Anamaanisha anathamini muda.
Cannabis JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 11,557 Reaction score 33,535 Feb 22, 2025 #22 Mapenzi yataniua (yatanikili)🐼
Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 19,687 Reaction score 23,689 Feb 22, 2025 #23 MAKANGEMBUZI said: Chawa wa mama mkae mbali na huu uzi. Iko hivi kuna wale watu ukimpigia simu yahn ile mnaagana unamalizia tu kuongea keshakata simu na hapo umepiga wewe. Hawa watu huwa wana maana gani? Click to expand... Wanakujua sana, baada ya maongezi huwa unaanza kupiga mizinga balaa.
MAKANGEMBUZI said: Chawa wa mama mkae mbali na huu uzi. Iko hivi kuna wale watu ukimpigia simu yahn ile mnaagana unamalizia tu kuongea keshakata simu na hapo umepiga wewe. Hawa watu huwa wana maana gani? Click to expand... Wanakujua sana, baada ya maongezi huwa unaanza kupiga mizinga balaa.
MAKANGEMBUZI JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 2,670 Reaction score 7,655 Feb 22, 2025 Thread starter #24 Hahahaha waja mna maneno hahahahaha.
T Tui JF-Expert Member Joined Jun 2, 2018 Posts 4,698 Reaction score 6,670 Feb 23, 2025 #25 Kijana anataka control.Kapiga simu yeye kwa hiyo ni lazima yeye akate simu mazungumzo yanapofikia mwisho.
Kijana anataka control.Kapiga simu yeye kwa hiyo ni lazima yeye akate simu mazungumzo yanapofikia mwisho.
zipompa JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 11,432 Reaction score 24,596 Feb 23, 2025 #26 mmemaliza kuongea unajivuta kukata simu mtu anafanyaje ana minya kekundu tu mie mara 2-3 nimefanya hivyo na wapigaji wakanirudia huku waki mindo umepiga wewe hadi ukate
mmemaliza kuongea unajivuta kukata simu mtu anafanyaje ana minya kekundu tu mie mara 2-3 nimefanya hivyo na wapigaji wakanirudia huku waki mindo umepiga wewe hadi ukate
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Feb 23, 2025 #27 Pole sana, ana mambo mengi... Cc: Mahondaw