pendoharri
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 508
- 306
Kweli ila amevuka mipaka cjapendafunika kombe pendo. kichaa akikwapua nguo zako usimkimbize
Kweli ila amevuka mipaka cjapenda
Atawatembeleaje wakati anaona wanataga mayai na kutotoa kama kukumalezi na maisha baina yetu ni tofauti na hicho ndicho kisa, sijui mkewe au ndugu zake wa jinsia ya kike anawatendeaje.
Hujui kinachofatia?!!Kuna maswali mengine ukimuliza msichana yakubidi ujipange kisaikolojia!
Unamuliza kapika nini? Tena mchana? Je akikujibu hajapika na anahamu ya chipsi au burger? What's next==>
Sasa hayo matusi.Mbona xx hatuwavunjii heshima ivyo[emoji57] [emoji57]
Kwel MLA KALA JANA MLA LEO KALA NINISASA madam...
UNATAKA NIONGEE UONGO BADALA YA UKWELI
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Tupe pole usitulaumuWanaume wengine bwana..kitu kidogo tu anaweka kichwani..
Hapan'shaka wakutana na wanawake wa aina fedenge.jaribu leo kumpigia simu msichana mida ya mchana au jioni afu akwambie anapika ,ukimuuliza anapika nini atasema wali samaki ,sijui kwa nini wanapenda hilo jibu hata kama hapiki au anapika chakula tofauti atajibu hivyo tu
Kwel MLA KALA JANA MLA LEO KALA NINI
Si wote wanalala usikumtu anakupigia simu usiku anauliza umelala? sasa ungeongeaje?
Wakati huo wameshakula Vyombo tena kwa Magari ya kuazima!!Ndiyo maana tunaishia kuwapiga chini.
Sio kwamba utoe hela, shughuli peleka machimboni huko au gerejiNami nakipendaga sana. Manzi akinipikia hivyo, ntampa shughuli hajawahi pewaga.