Ukimsujudia shetani atakupa utajiri?

"Mungu" kachukuliwa na ibilisi?

Aliyetunga hicho kisa ni mchekeshaji (comedian).
 
Hadithi za Biblia na Quran ni za kusimulia watoto muda wa kulala mtu mzima anayeamini hizo hekaya apimwe akili
Huwezi kukuta ujinga kama huo kwenye Qur'an.

Punguani wahed.
 
Huwezi kukuta ujinga kama huo kwenye Qur'an.

Punguani wahed.
Quran ilisema jua linazama kwenye matope Sasa si ujinga mkubwa.. Na kusema mtume alitenda muujiza wa kupasua mwezi vipande viwili [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu dunia nzima waone tuu Saudia hiyo event [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Fahamu kwamba Yesu alipokuwa akikaribia na shetani alikuwa kwa namna ya mwanadamu yaani aliuvaa mwili...majaribu hayo yalikuwa kwa namna ya rohoni au mawazo shetani alikuwa akimshawishi mwana wa Mungu kwa kuwaza
 
"Mungu" kachukuliwa na ibilisi?

Aliyetunga hicho kisa ni mchekeshaji (comedian).
tatizo unaisoma Biblia kama gazeti. Kwenye kile kitabu wanaposema kuna majini/mashetan waislam unafahamu wakristu wanaelewa nini?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Sio walimsujudia bali wanamtumikia...
Acha ujinga, wao ndio wanaitawala, dunia kama agizo, LA, Mungu,
Sasa ukisema wao wanamtumikia shetsni kwa, kujenga miundombinu ya tekinolojia, mbona nyie walokole mnatumia hizo, huduma? Facebook, WhatsApp, nk? Huduma za, kishetani Ila mnazitumia kusambaza injili?!!
Hao,uliowataja wanatengeneza magari ya, umeme, wanafsnya tafiti za, kisayansi kusaidia dunia,
Je wale wadada wanaojiuza, na, panyaload, kwa, kutenda kwao vitendo vya kishetani mbona hawapati utajiri?
You stupid fucker!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…