Ukimtoa King Kiba. Je, kuna jembe jingine hapa Bongo?

Ukimtoa King Kiba. Je, kuna jembe jingine hapa Bongo?

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Wakuu,

Inafahamika kimataifa kuwa hakuna mwanamziki Jembe, anayekamua anayetesa kama King Kiba hapa Bongo. Je, kuna mwanamziki gani mwenye uwezo wa kutisha kama King Kiba?

Hakuna bana
 
Hakunaaaaa,anayebisha mburula tu.
 
uwezo wa kutisha kwa lipi?? mie simuogopi hata
 
HAKUNA MKUUUU....atatoka wapi mwingineee? KING KIBA FOR REAL ndo mwazo mwisho asiyetaka ASAGE CHUPA ALE....
 
JEMBE linachomekewa au kuingiziwa mpini kwa nyuma ndipo lifanye kazi!!bongo hii yuko peke yake kweli JEMBE!

Huu msemo wa Kuitana JEMBE wajanja wanaotafsiri mambo hapa mjini hawautumii tena tena kusifiana!!
 
Lete basi na visibitisho vya kutisha kwake mie simjui hivyo.
 
Back
Top Bottom