Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae

Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae

Street brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2022
Posts
584
Reaction score
767
Sishangai kwanini ukiachana na mwanamke, wenzake wote hawataki kukusikia. Mahusiano ya wanawake wengi ni suala la kikundi kama vikoba. Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae?”…

Sasa kauli nitayoisema next ni ita-make sense ukiliwaza vizuri, “Ni rahisi rafiki wa mwanamke kutoka na mwanaume wa rafiki yao ila ngumu kwa rafiki wa mwanaume kutoka na mwanamke wa mshkaji wao. Mwanaume anamchagua mwanamke wake ila wanawake wanasaidiana kuchagua.
 
Sishangai kwanini ukiachana na mwanamke, wenzake wote hawataki kukusikia. Mahusiano ya wanawake wengi ni suala la kikundi kama vikoba. Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae?”…

Sasa kauli nitayoisema next ni ita-make sense ukiliwaza vizuri, “Ni rahisi rafiki wa mwanamke kutoka na mwanaume wa rafiki yao ila ngumu kwa rafiki wa mwanaume kutoka na mwanamke wa mshkaji wao. Mwanaume anamchagua mwanamke wake ila wanawake wanasaidiana kuchagua.
Repeat again
 
Sishangai kwanini ukiachana na mwanamke, wenzake wote hawataki kukusikia. Mahusiano ya wanawake wengi ni suala la kikundi kama vikoba. Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae?”…

Sasa kauli nitayoisema next ni ita-make sense ukiliwaza vizuri, “Ni rahisi rafiki wa mwanamke kutoka na mwanaume wa rafiki yao ila ngumu kwa rafiki wa mwanaume kutoka na mwanamke wa mshkaji wao. Mwanaume anamchagua mwanamke wake ila wanawake wanasaidiana kuchagua.
Hpna mbona huku kwetu ukimpata mmoja rafiki zake utapiga bila tongozo lolote
In short kwetu kina Dada hawana baya
 
Usiwe unatongoza pisi mwenye tabia za kutembea na makundi Mara nyingi ni kazi Sana maana lazima ushawishi kundi halafu uje kwa pisi yenyewe Sasa kazi yote hiyo ya nini
Ukiwa unataka kutongoza epuka aina hiyo ya wanawake angalia zile pisi sometimes wanatembea bila makundi sio kwamba Hana marafiki kabisa Ila awe na mda was private kidogo
 
Huku kwetu uswahili mambo ni tofauti kabisaa

Ukimega demu anakwenda kujisifia kwa wenzake kapata bwana wa maana kabisa
Basi hapo wakikuona wanaanza kukushobokea oooh shemela

Basi unaanza kumega mmoja baada ya mwingine hadi unamaliza wote
 
Back
Top Bottom