Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 584
- 767
Sishangai
Repeat againSishangai kwanini ukiachana na mwanamke, wenzake wote hawataki kukusikia. Mahusiano ya wanawake wengi ni suala la kikundi kama vikoba. Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae?”…
Sasa kauli nitayoisema next ni ita-make sense ukiliwaza vizuri, “Ni rahisi rafiki wa mwanamke kutoka na mwanaume wa rafiki yao ila ngumu kwa rafiki wa mwanaume kutoka na mwanamke wa mshkaji wao. Mwanaume anamchagua mwanamke wake ila wanawake wanasaidiana kuchagua.
🤣🤣🤣 WhatRepeat again
Hpna mbona huku kwetu ukimpata mmoja rafiki zake utapiga bila tongozo loloteSishangai kwanini ukiachana na mwanamke, wenzake wote hawataki kukusikia. Mahusiano ya wanawake wengi ni suala la kikundi kama vikoba. Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae?”…
Sasa kauli nitayoisema next ni ita-make sense ukiliwaza vizuri, “Ni rahisi rafiki wa mwanamke kutoka na mwanaume wa rafiki yao ila ngumu kwa rafiki wa mwanaume kutoka na mwanamke wa mshkaji wao. Mwanaume anamchagua mwanamke wake ila wanawake wanasaidiana kuchagua.
How many is they?? (IN Harmonize voice)Spoil and f*** both of them, mbona mnakwama vijana
Jopo zima, most of majopo wanakuwa (ga) 6 kushuka chiniHow many is they?? (IN Harmonize voice)
Wizo jamani hata upako haujatoka tuliotoka nao church ushaanza hekaheka za hogo 😂😂😂Unatakiwa ulitembezee rungu kundi zima la vikoba.
BABU JUMA chapa watembezee moto wote, kuanzia mwenyekiti wa kikoba hadi mpambe wa mwisho. CHAPA, PIGA HOGO kweRi kweRi.
Wakikuona wanatimka na kutokomea kwa aibu.
Dawa ya Kiranga ni MBORO, unasambaratisha kikoba chote.
Cc: Lamomy Poor Brain Yohimbe bark Mzee wa kupambania Extrovert dronedrake The Icebreaker
Hii komenti ya kibabe sana 🤣Unatakiwa ulitembezee rungu kundi zima la kikoba.
BABU JUMA chapa watembezee moto wote, kuanzia mwenyekiti wa kikoba hadi mpambe wa mwisho. CHAPA, PIGA HOGO kweRi kweRi.
Wakikuona wanatimka na kutokomea kwa aibu.
Dawa ya Kiranga ni MBORO, unasambaratisha kikoba chote.
Cc: Lamomy Poor Brain Yohimbe bark Mzee wa kupambania Extrovert dronedrake The Icebreaker
😂😂😂 Jomooniii, hivi kumbe leo ni jumapili?? samahanini kwa kuwachafulia sakramenti zenu jamani 😱Wizo jamani hata upako haujatoka tuliotoka nao church ushaanza hekaheka za hogo 😂😂😂
Wizo kaka ana type 😂😂😂😂 Jomooniii, hivi kumbe leo ni jumapili?? samahanini kwa kuwachafulia sakramenti zenu jamani 😱
Cazee nakuona 😂😂Hii komenti ya kibabe sana 🤣
😂😂😂😂😂😂😂 Ni maisha tuCazee nakuona 😂😂
Yani ukireply comment yake nahisi anapaa wizo