aiseewabongo hatuuchukulii serious ukimwi, vijana huko telegram wanachakata tu papuchi za wadada poa peku peku
Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa, hatari sanaJust imagine life without H.I.v ingekuwaje??? Ingekuwa zaidi ya sodoma
oh, naibu aongee kwa sauti basi tusikie vizuri sote!juzi naibu waziri wa Afya kasema wenye ukimwi wapo hatarini kufa kwa corona pamoja na wenye visukali
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wa Corona, haipo sehemu mbaya kama Ukimwi.
Unaonaje?Just imagine life without H.I.v ingekuwaje??? Ingekuwa zaidi ya sodoma
Just imagine life without H.I.v ingekuwaje??? Ingekuwa zaidi ya sodoma
Watu tumefadhaika, tumepagawa. hasikiki Ukimwi mtaani!
Wasio nao wameusahau na sasa tafadhali zote wamezielekeza kwa bwana Corona!
Nina mashaka wenye nao na wenye roho mbaya wasije wakajifanya wamesahau na wao ikala kwa mtu.
Tuwe macho, tusiusahau UKIMWI
naipata ile bar, ni kama 2 in 1 maana ziko mbili pale. halafu kituo cha polisi kipo karibu tu paleNenda sinza pale kati kuna loji moja ya waiti hivi ukiingia apo watu wamejitoa loki. Ni kama dunia hii hamna hili gonjwa maana watu wanajilia tu. Ukipita korido ni fulu mishindo inakitwa apo au nenda pale chama buguruni kuna baa ya ovyoovyo karibu na stendi ni balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi huwa inapatwaje hiyo?
Sasa wee jamani pipi ukale na karatasi ndio niniwabongo hatuuchukulii serious ukimwi, vijana huko telegram wanachakata tu papuchi za wadada poa peku peku
Sent using Jamii Forums mobile app