Many are dying, many are perishing, wherever Iam now, just for ur GRACE! Thank u my LORD.....thank u my JESUS, wherever Iam now, just for ur GRACE! Wapo walioishi kwenye ndoa zao kwa uaminifu 100% lakini wakaletewa na wenzi wao, wapo waliodungwa sindano na kuongezewa drip zenye virusi kwa ajili ya uhasama na chuki, wapo waliotumia dawa ya penzi na bado wakaambukizwa, wapo walioambukizwa na wazazi wao pindi wanazaliwa! Jitihada zetu zikiongozwa na neema ya MUNGU zitatusaidia kuyashinda ya dunia likiwemo hili janga!! MBARIKIWE SANA.