Ukimwi ni nini..?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Tumekuwa tukifundishwa kuwa UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini,na VVU ni virusi vya UKIMWI..
swali langu la mantiki lipo hapa mtu akiwa na upungufu wa kinga ya mwili bila kuwa na virusi je,mtu huyo atakuwa na UKIMWI..?
 
KENZY uoungufu wa kinga mwilini unaweza kusababishwa na magonjwa kama TB au chemotherapy kwa wagonjwa wa kansa. Mgonjwa wa TB anatibika na kansa bado ni 30/70 kwa chemotherapy kuua cells zote zilizoshamuliwa.

Mgonjwa huyu ataitwa ana immunal surpress lakini hana UKIMWI
 

UKIMWI kwa tafsiri ya mtoa mada hapo ni upungufu wa kinga mwilini, na wewe umesema upungufu wa kinga mwilini unaweza kusababishwa na TB/cancer/chemo. Mwisho umehitimisha kwa kusema mgonjwa huyu atakua hana upungufu wa kinga mwilini (UKIMWI) ila atakua na immuno suppress.
Immunosuppress ni kupungua kwa activation au efficacy ya immune system kama sikosei.
Je hilo swali lake la kusema kwamba mtu anaweza kuwa na upungufu wa kinga mwilini (UKIMWI) bila kuwa na HIV ndani yake ni sahihi au sio sahihi? Kwa majibu yako ni kwamba mtu anaweza kuwa na ukimwi bila HIV ndani yake au nimekuelewa vibaya
 
haswaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…