Ukimwi sipati ng'oooooooooo !

KakaNanii

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2008
Posts
325
Reaction score
52
Yaani hapa ukimwi utaingilia wapi ???
 

Attachments

  • UKIMWI SIPATI NG'O.jpg
    2.9 KB · Views: 181
Je tumbo likileta tatizo na funguo umepoteza inakuwaje?
 
Hapo raha yake ni pale aliyekufunga ni mkeo na amepoteza funguo......
 
Hapo raha yake ni pale aliyekufunga ni mkeo na amepoteza funguo......

Anavunja kufuli, halafu si naweza nikachonga funguo eeh!

Mpango wa nje nikaendelea vizuri tu!!!!

Hakuna kisichowezekana.
 
Anavunja kufuli, halafu si naweza nikachonga funguo eeh!

Mpango wa nje nikaendelea vizuri tu!!!!

Hakuna kisichowezekana.




Mh ... naogopa sasa ina maana na wewe utanifanyia hivi?
 
Mh ... naogopa sasa ina maana na wewe utanifanyia hivi?

Nooo!!! nilikuwa nawasilisha ujumbe tu, mi fanani napeleka ujumbe kwa hadhira PM.

Kamwe sitokufanyia hivooooo!!!1
 
Nooo!!! nilikuwa nawasilisha ujumbe tu, mi fanani napeleka ujumbe kwa hadhira PM.

Kamwe sitokufanyia hivooooo!!!1




Na ndio maana namshukuru muumba kwa kunikutanisha na wewe...
 
lakini lazima wakupige mawe kwakuwa paka mweusi ni wa dawa! na hakuna anayekubali kuwangiwa kaka hivyo safari yako ni ndefu kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…