UKIMWI upo, nawasihi vijana wenzangu mtulie

We acha tu kaka omba isikukute mimi nimenyonywa tu uume lakini amani sina je, aliyefanya kabisa anakuaje?
Kwenye nyakati km hzo ukiwa na roho ndogo.. unaweza kujiandalia video ya PARAPANDA ITALIA PARAPANDA!!
 
Kwenye nyakati km hzo ukiwa na roho ndogo.. unaweza kujiandalia video ya PARAPANDA ITALIA PARAPANDA!!
Hahaha mkuu ngoja nione itakuaje but natamani siku ziende ili nijue ukweli nimechka kuishi hivi
 
Mbona sijaona mahala kamla hawezi pata ngoma kwa kunyonywa tu
Yes.. zinaa ni pamoja na kulana ndimi. So asirudie sio kwa huyo pekee hata wengine. Ikibidi aoe akiona anawaka tamaa
 
Vipimo vya bioline vinadetect maambukizi baada ya siku 21, kama umepima siku ya 25 basi kwa kiasi flan upo safe kuwa na amani.

Next time usianzishe mahusiano bila kupima, usiangalie furaha yako peke yako kuna watu wanategemea uwepo wako, wazazi na ndugu zako ikitokea leo hii umeondoka fikiria maumivu utakayowasababishia kwa uzembe wako.

Nenda kapime baada ya miezi 3 ila naamini utakua salama, kuwa na amani.
 
Ukaendelea Naye?
 
Kwamba kila uhusiano unatakiwa upime Kwanzaa?
 
Umezungumza mpaka nimelia kwa uchungu nakushukuru sana...umenifunza kitu nisiwe mbinafsi katika maisha yangu kamwe naahidi kubadilika na nitakuwa na mungu mpaka kufa
 
Sasa huku kama fanya nae mapenzi un aogopa nini?
 
"A/alyekum na Bwana Yesu asifiwe" LoL... hii salamu ime sum up kila kitu. Nenda ukapime confirmatory test pale Lancent lab.
 
"A/alyekum na Bwana Yesu asifiwe" LoL... hii salamu ime sum up kila kitu. Nenda ukapime confirmatory test pale Lancent lab.
Wapi nielekeze na hiko kipimo kipoje na kina gharimu kiasi gani?
 
Umezungumza mpaka nimelia kwa uchungu nakushukuru sana...umenifunza kitu nisiwe mbinafsi katika maisha yangu kamwe naahidi kubadilika na nitakuwa na mungu mpaka kufa
Kuwa na amani kabisa upo salama.
 
Duuuuu aiseee ww kitachaokuua ni huyo wasi wasi wako...

Chukulia poa maisha yenyewe mafupi haya don't care brother na wala usiende kupima kwa moyo wako huo ulivyo mdogo tutakupoteza soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…