UKIMWI upo, nawasihi vijana wenzangu mtulie

UKIMWI upo, nawasihi vijana wenzangu mtulie

kwenye mazishi unasiki marehemu alikuwa mtafutaji sana mwenye juhudi, kumbe wa mademu
 
kwenye mazishi unasiki marehemu alikuwa mtafutaji sana mwenye juhudi, kumbe wa mademu
Hahaha marehemu asemwi kwa ubaya umesahau kanumba alipokufa watu walisahau kama alikuwa ana baka mtoto
 
Wanasema nipo window period siwezi kuona so nisubiri miezi 3 theni nipime ili nipate uhakika
HIV haiambukizwi kirahisi namna hiyo, watu wanafanya sex na victims tena bila condoms na bado wanenda kupima wakuta hawajaambikizwa. We unaongelea oral sex, hii ni kitu watu wanafanya every now and then na hakuna wanachopata

Ingekua transmission ni rahisi kiasi hicho basis zaidi ya nusu ya watu duanini wangekua na HIV

Just take a rest and breath some air
 
HIV haiambukizwi kirahisi namna hiyo, watu wanafanya sex na victims tena bila condoms na bado wanenda kupima wakuta hawajaambikizwa. We unaongelea oral sex, hii ni kitu watu wanafanya every now and then na hakuna wanachopata

Ingekua transmission ni rahisi kiasi hicho basis zaidi ya nusu ya watu duanini wangekua na HIV

Just take a rest and breath some air
Shukurani now nipo normal sio kama mwanzo
 
HIV haiambukizwi kirahisi namna hiyo, watu wanafanya sex na victims tena bila condoms na bado wanenda kupima wakuta hawajaambikizwa. We unaongelea oral sex, hii ni kitu watu wanafanya every now and then na hakuna wanachopata

Ingekua transmission ni rahisi kiasi hicho basis zaidi ya nusu ya watu duanini wangekua na HIV

Just take a rest and breath some air
Huu ujumbe utawapunguzia mawazo watu wengi sana Mkuu, kuna watu wanapita kimya kimya wanaogopa kufunguka. Hatari hizi mambo furahi kusimuliwa ila yasikukute utajuta kwa kihoro.
 
Huu ujumbe utawapunguzia mawazo watu wengi sana Mkuu, kuna watu wanapita kimya kimya wanaogopa kufunguka. Hatari hizi mambo furahi kusimuliwa ila yasikukute utajuta kwa kihoro.
Mkuu umenena yaan ni zaid ya hatari
 
Back
Top Bottom