UKIMWI upo, tuvae condom. Vilainishi mbali mbali si kinga sahihi!

UKIMWI upo, tuvae condom. Vilainishi mbali mbali si kinga sahihi!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Salaam , hakika kweli mfungo umekwisha, maongezi haya niliyashuhudia katika sehemu fulani ya starehe nikabakia kutahayari juu ya mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea katika meza jirani na nilipokuwa nimekaa napata moja mbili, babu yenu nikabakia mdomo wazi, dunia inakimbia kweli, wajukuu wangu, vijana mna gundua vingi sana.
IMG_20240411_081759_210.jpg
 
Homa ya Ini unaiacha wapi? Tutafute chanjo
Unamchango gani juu ya vijana wengi wanaotumia vilainishi vya mafuta mbali mbali, japo Jana ile walikuwa wakisisifia sana parachute!, kwa umahiri na umaridadi, vijana mtakwisha, kihasara hasara.
 
Salaam , hakika kweli mfungo umekwisha, maongezi haya niliyashuhudia katika sehemu fulani ya starehe nikabakia kutahayari juu ya mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea katika meza jirani na nilipokuwa nimekaa napata moja mbili, babu yenu nikabakia mdomo wazi, dunia inakimbia kweli, wajukuu wangu, vijana mna gundua vingi sana. View attachment 2960301
Mbona hayo mafuta ya parachute recently yamepata promo sana? Kuna nini?
 
Salaam , hakika kweli mfungo umekwisha, maongezi haya niliyashuhudia katika sehemu fulani ya starehe nikabakia kutahayari juu ya mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea katika meza jirani na nilipokuwa nimekaa napata moja mbili, babu yenu nikabakia mdomo wazi, dunia inakimbia kweli, wajukuu wangu, vijana mna gundua vingi sana. View attachment 2960301
Hayo uliyoyasikia meza ya jirani ni yepi?
 
Wiki mbili zilizopita tumezika dada wa rafiki yangu,alichoka kutumia dawa akaamua kuacha.Ilikuwa ukienda kumcheki usipokuwa makini unaweza kumkalia kitandani aisee Dada alikwisha, ukimwi usikie Kwa jirani.
Huyo hakufuata masharti watu naowajua wanafuata masharti wanaishi kama kawaida bila ya kusumbuliwa na chochote
 
Back
Top Bottom