Ukimwi upo

Ukimwi upo

Jstar1

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,391
Reaction score
1,347
Jana niliopoa pisi niliifahamu kupitia rafiki yake, aisee baada ya kuipga mizinga ya pombe ikiabidi tuelekee geto.

Kufika geto ile nmejipima na yeye nkawa nmempima ikaonekana yuko positive akili iliruka.

ikabidi nipge picha kipimo, nivitupe chooni nilimwambia yuko safe na nkatafta namna ya kumtoa geto usku bahati nzuri aliondoka.

kosa nililifanya sikuchukua tahadhari wakati nampima,, nilishka damu kutumia mkono ambao nlijichoma wakatu najipima.

nmeamua nianze dozi ya 30 days mniombee
 
Kwa hizo mzee baba unatufundisha wakati wa kupima tuchukue tahadhari au tuache kuchuja nafaka?
 
Kwakuwa mafahari wawili hawaishi zizi moja basi, Dawa ya ukimwi ni kupata Corona tu by Frustration
 
Jana niliopoa pisi niliifahamu kupitia rafiki yake,, aisee baada ya kuipga mizinga ya pombe ikiabidi tuelekee geto...

Kufika geto ile nmejipima na yeye nkawa nmempima ikaonekana yuko positive akili iliruka,,

ikabidi nipge picha kipimo,, nivitupe chooni nilimwambia yuko safe na nkatafta namna ya kumtoa geto usku bahati nzuri aliondoka..

kosa nililifanya sikuchukua tahadhari wakati nampima,, nilishka damu kutumia mkono ambao nlijichoma wakatu najipima,,

nmeamua nianze dozi ya 30 days mniombee
Kati ya wewe na watu wa ukraine unadhani nani anatakiwa kuombewa?
 
alafu kumbe alikua anajua ana ukimwi ila alitaka kuua wegine
 
si ungetumia tu kondom kuliko kuchomana masindano hayo afu Dem Kam anakula dozi mkuu ngumu kuukwaa.
 
Jana niliopoa pisi niliifahamu kupitia rafiki yake,, aisee baada ya kuipga mizinga ya pombe ikiabidi tuelekee geto...

Kufika geto ile nmejipima na yeye nkawa nmempima ikaonekana yuko positive akili iliruka,,

ikabidi nipge picha kipimo,, nivitupe chooni nilimwambia yuko safe na nkatafta namna ya kumtoa geto usku bahati nzuri aliondoka..

kosa nililifanya sikuchukua tahadhari wakati nampima,, nilishka damu kutumia mkono ambao nlijichoma wakatu najipima,,

nmeamua nianze dozi ya 30 days mniombee
Dah PEP ihusike
 
Uache pombe.

Ukute vipimo ni vyako umetindinganya mambo.
 
aya xaxa jamaa Ako kashaukwaa Kwa ajili ya kupimana pimana, hajavaa groves kalewa yeye ana pima ,pima watu ovyo
 
Back
Top Bottom