Kati ya wewe na watu wa ukraine unadhani nani anatakiwa kuombewa?Jana niliopoa pisi niliifahamu kupitia rafiki yake,, aisee baada ya kuipga mizinga ya pombe ikiabidi tuelekee geto...
Kufika geto ile nmejipima na yeye nkawa nmempima ikaonekana yuko positive akili iliruka,,
ikabidi nipge picha kipimo,, nivitupe chooni nilimwambia yuko safe na nkatafta namna ya kumtoa geto usku bahati nzuri aliondoka..
kosa nililifanya sikuchukua tahadhari wakati nampima,, nilishka damu kutumia mkono ambao nlijichoma wakatu najipima,,
nmeamua nianze dozi ya 30 days mniombee
The pandemic is behind the scene[emoji1][emoji1][emoji1]Sikuhizi ni no care wanachinja tu
Dah PEP ihusikeJana niliopoa pisi niliifahamu kupitia rafiki yake,, aisee baada ya kuipga mizinga ya pombe ikiabidi tuelekee geto...
Kufika geto ile nmejipima na yeye nkawa nmempima ikaonekana yuko positive akili iliruka,,
ikabidi nipge picha kipimo,, nivitupe chooni nilimwambia yuko safe na nkatafta namna ya kumtoa geto usku bahati nzuri aliondoka..
kosa nililifanya sikuchukua tahadhari wakati nampima,, nilishka damu kutumia mkono ambao nlijichoma wakatu najipima,,
nmeamua nianze dozi ya 30 days mniombee
Labda sio UKIMWIsi ungetumia tu kondom kuliko kuchomana masindano hayo afu Dem Kam anakula dozi mkuu ngumu kuukwaa.