Ukimwi

Ukimwi

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Serikali naomba iweke utaratibu wa kuwagawia condom.

Vijana wa kike na wa kiume kuanzia shuleni kama wanavyofanya kuwapa pedi.

Maana hali ni tete jinsi wanavyoshiriki ngono zembe

Hasa kipindi cha likizo,sikukuu na mvua kiukweli hali ni tete sana

Niko mkoani niliyoyaona hali ni tete sana tunatengeneza taifa la wagonjwa wa ukimwi! ni majonzi.
 
Si kila ngono zembe inapelekea ukimwi pia kazi kuu ya kondomu sio kuzuia ukimwi,
Labda kama tunataka kuzuia mimba ila nakubaliana na wewe kizazi hiki hali ni tete sana
 
Wazee wa ishi kistaa na pande za Dom wacha waendelee kuwaambukiza wanafunzi wa vyuo ukimwi kwa makusudi
 
Kazi ya jembe ni kulimia sio kuweka begani. Ukisema tuwagawie kondomu sio mapulizo ya kupamba shereheni. Tukiisha wagawia ina maana tumewapa ruhusa kufanya ngono na hapo ndipo tutatengeneza taifa la kungonoka kizembe haswa.
Hivi ungejisikiaje, una kabinti kako miaka 13 - 15. Ukaambie, hebu leta mfuko wako wa shule hapa. Upitishe mkono mle zianguke kondo,u 8. Hiyo kabeba asubuhi tu anaenda nazo shule. Je, utampa nauli ya kwenda shule au utamwambia atwange kwa miguu huenda akifika atachoka angalao alale usingizi tu saa zipite atumie kondomu 1 arudi home??
Acheni mawazo potofu kuwa kuwagawia ndio kutapunguza maambukizi. Tutafute njia nyingine. Waache waup[ate huenda wengine wakaogopa kufa.
 
Si kuna jamaa alisema "Watanzania Zaeni Watoto Tuuu, Elimu Ni Bure". Ndio watu kipindi cha mvua/baridi wanafanya kilimo cha kutafuta watoto.
 
Shida siyo kuwa na condom shida kuivaa, na unaemvalia anataka? Mixa ugwadu/tamaa ya fisi unavaa kavu kavu, kwa kisingizio condom inachubua kijana anapump kavu 😂😂,
Condom siyo soln
 
jamani eeeeeh

kuna raha na karaha

raha ni ile pichu puchi ama nyama nyama

karaha ni ile ndomu ama kupigishwa nyento

nje ya hapo NGOMA IPO...maana ndugu zetu mitaani wanaugua na tunauguza

So..stay safe.

Kondomu ni uhakika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unatajisikiaje unajilinda na condom mda wote au hufanyi mapenzi kabisa halafu siku unaenda kwenye mihangaiko yako kwenye daladala unaguswa na jasho la mgonjwa wa homa ya ini[emoji848]

Usinifikirie vibaya hata mimi sipendi ngono mkuu
[emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fikiria mara mbili mkuu,
ukiwapa condom ni sawasawa na kuwapa ruhusa kitakachotokea ni mara mbili yake, hapo tafuta suruhisho jingine,

Ila Dawa kubwa ni jinsi unavyomlea mwanao,
Binafsi naona fahari jinsi wazazi wangu walivyonilea,
Sikuwahi kufikiria huu ujinga, nilijua nini nilifuata shule, ni elimu tu,
Na Mpaka leo hii, sijabadirika,

Kumbuka mtoto anapozaliwa Ni sawasawa na shamba ambalo halijalimwa, ila chochote utakacho panda ndicho kitakachoota, ukipanda mema lazima yaote mema, lazima,

Malezi ni kitu cha muhimu sana toka mtoto anapozaliwa.
 
Hicho kidudu cha ukimwi kikija kupewa somo na kidudu cha ebola nadhani utakatifu utatukaa baraba.
 
Back
Top Bottom