Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Si kawaida yangu.
Nimpapo mtu jibu hasa baada ya bughudha, pengine kejeli na matusi nikajua kuwa jibu langu limemtosheleza na yeye akawa kimya nami pia huwa kimya.
Ukimya huu wa jumla umenishangaza sana.
Ukimya huu si wa kawaida.
Nimpapo mtu jibu hasa baada ya bughudha, pengine kejeli na matusi nikajua kuwa jibu langu limemtosheleza na yeye akawa kimya nami pia huwa kimya.
Ukimya huu wa jumla umenishangaza sana.
Ukimya huu si wa kawaida.