Ukimya wa dr slaa kuhusu posho za wajumbe wa katiba!

Ukimya wa dr slaa kuhusu posho za wajumbe wa katiba!

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,149
Reaction score
3,825
WanaJF,

Tangu nimjue Dr Slaa miaka karibu 10 iliyopita, hivi sasa nimeanza kushuhudia mzee huyu kutandwa na ukimya wa kutisha.

Katika watu ambao sikutarajia wao kukaa kimya kuhusu suala la posho, mmoja wapo ni Dr Slaa, ila nimeshangazwa na ukimya wake huu.

Hali hiyo ya ukimya imenipelekea kujenga 'assumptions' kadhaa juu ya Dr Slaa, nazo ni:

A) Kwa kuwa CHADEMA inampa posho ya zaidi ya Tshs. 1 million, hivyo roho inamsuta akianza kuwasema wanaotaka nyongeza kwenye laki 3?

B) Wenda na yeye ana tetea maslahi ya vijana wake kama vile Lema, Nassari na Mnyika kupitia posho za bunge la katiba?

C) Labda uzalendo, ujasiri na uchungu wa taifa lake vimemkauka, hivyo imepelekea yeye kutojali lolote linaloendelea nchini.

Binafsi nimeipa uzito assumption no.1 sijui wana jukwaa wengine.
 
Hivi AK mzee wa kuwaua, kuwang'oa na kuuza majino ya tembo, yeye ametoa tamko gani?
 
labda ulipitiwa ktk harakati za ujenzi wa taifa , ameshalijibu hilo mapema na amesema kama msimamo wa chama kuwa hawauingi mkono ongezeko la posho na kuileta swala la posho ni makosa kwani hawakuchaguliwa kwenda kudai posho bali ni kuboresha kile kilichotolewa na Tume ya warioba.
 
this issue does not need the input of a person of Dr. Slaa calibre,and am sure he will continue to keep quite and do something which are national interest,hii ni siasa za CCM kujaribu kuwaondoa watanzania kwenye swala zima la kufikiria katiba na kuanza kujadili issue ndogo ya posho ili mambo mengine yapitishwa haraka haraka,secondly wangekuwa wanarusha live kupitia TV na media zingine wengi wangechangia sasa wanarudisha watu kwenye karne ya 18,na then wanataka watu wenye akili zao wachangie?never mzee kaa kimya hii issue wataimaliza wenyewe walioianzisha
 
Dr Slaa jana amelizungu suala la posho za wabunge wa bunge la katiba, nashangaa wewe sijui wewe ulokuwa wapi,

Tatizo mnajifungia Lumumba na kisha mnaibuka kama mzuka ya ugiliwe
 
Hivi AK mzee wa kuwaua, kuwang'oa na kuuza majino ya tembo, yeye ametoa tamko gani?

Mkuu achana na hamida hajijui, angetoa tamko wangesema ana kiherehere, dawa yao ni kuwapuuza
 
Yupo busy kuwakomboa wana-Kalenga, pia anahitaji kuongeza nguvu ingine bungeni kulizungumzia hilo huko!
 
Rangi za wanasiasa nimezifahamu vema kwa sasa hawa jamaa hawataweza kunidanganya tena.
 
Dr Slaa jana amelizungu suala la posho za wabunge wa bunge la jamhuri, nashangaa wewe sijui wewe ulokuwa wapi,

Tatizo mnajifungia Lumumba na kisha mnaibuka kama mzuka ya ugiliwe
Zingine geresha tu,
unajua ndani ya nafsi ya slaa anawaza nini kuhusu posho?
 
WanaJF,

Tangu nimjue Dr Slaa miaka karibu 10 iliyopita, hivi sasa nimeanza kushuhudia mzee huyu kutandwa na ukimya wa kutisha.

Katika watu ambao sikutarajia wao kukaa kimya kuhusu suala la posho, mmoja wapo ni Dr Slaa, ila nimeshangazwa na ukimya wake huu.

Hali hiyo ya ukimya imenipelekea kujenga 'assumptions' kadhaa juu ya Dr Slaa, nazo ni:

A) Kwa kuwa CHADEMA inampa posho ya zaidi ya Tshs. 1 million, hivyo roho inamsuta akianza kuwasema wanaotaka nyongeza kwenye laki 3?

B) Wenda na yeye ana tetea maslahi ya vijana wake kama vile Lema, Nassari na Mnyika kupitia posho za bunge la katiba?

C) Labda uzalendo, ujasiri na uchungu wa taifa lake vimemkauka, hivyo imepelekea yeye kutojali lolote linaloendelea nchini.

Binafsi nimeipa uzito assumption no.1 sijui wana jukwaa wengine.
upo sahahi kabisa kwanza makubaliano yao n kwamba slaa atalipwa km mbunge huenda hata hii posho chama kinamlipa badala ya bunge. mnafiki huyo mbona ZZK amelaan waz & na kupinga hzo nyongeza? ni watu gan hao masikin anaosema yeye anawatetea!!!
 
upo sahahi kabisa kwanza makubaliano yao n kwamba slaa atalipwa km mbunge huenda hata hii posho chama kinamlipa badala ya bunge. mnafiki huyo mbona ZZK amelaan waz & na kupinga hzo nyongeza? ni watu gan hao masikin anaosema yeye anawatetea!!!

Na hiyo ndio tofauti kubwa ya Zitto na Dr Slaa...uwazi na ukweli. Zitto sio mbabaishaji kama Dr slaa hasa yanapokuja mambo ya maslahi. Dr slaa amezidi ulafi ndio maana kwenye posho uwa kimya sana.
 
Alikuwa porini anaua tembo
Dr Slaa jana amelizungu suala la posho za wabunge wa bunge la jamhuri, nashangaa wewe sijui wewe ulokuwa wapi,

Tatizo mnajifungia Lumumba na kisha mnaibuka kama mzuka ya ugiliwe
 
Rangi za wanasiasa nimezifahamu vema kwa sasa hawa jamaa hawataweza kunidanganya tena.

Inabidi Watanzania wawe makini sana na wanasiasa...maana kuna kundi la walafi limeingilia siasa kwa sasa...tuwe macho.
 
Dr Slaa jana amelizungu suala la posho za wabunge wa bunge la jamhuri, nashangaa wewe sijui wewe ulokuwa wapi,

Tatizo mnajifungia Lumumba na kisha mnaibuka kama mzuka ya ugiliwe

Wewe fundi mchundo inaelekea ulikuwa mbali kidogo...hapa tuna jadili posho za wajumbe wa bunge maalumu la katiba...wewe unaongelea posho za wabunge wa JMT. Focus man!!!
 
We mama una matatizo makubwa hivi Dr Slaa alikufanya nini?
 
WanaJF,

Tangu nimjue Dr Slaa miaka karibu 10 iliyopita, hivi sasa nimeanza kushuhudia mzee huyu kutandwa na ukimya wa kutisha.

Katika watu ambao sikutarajia wao kukaa kimya kuhusu suala la posho, mmoja wapo ni Dr Slaa, ila nimeshangazwa na ukimya wake huu.

Hali hiyo ya ukimya imenipelekea kujenga 'assumptions' kadhaa juu ya Dr Slaa, nazo ni:

A) Kwa kuwa CHADEMA inampa posho ya zaidi ya Tshs. 1 million, hivyo roho inamsuta akianza kuwasema wanaotaka nyongeza kwenye laki 3?

B) Wenda na yeye ana tetea maslahi ya vijana wake kama vile Lema, Nassari na Mnyika kupitia posho za bunge la katiba?

C) Labda uzalendo, ujasiri na uchungu wa taifa lake vimemkauka, hivyo imepelekea yeye kutojali lolote linaloendelea nchini.

Binafsi nimeipa uzito assumption no.1 sijui wana jukwaa wengine.


Wewe BADALA ya KUFURAHIA WAJUMBE wa PEMBA na ZANZIBAR wanapewa POSHO zaidi ya wa BARA

Wewe Unajenga ASSUMPTIONS kadhaa... yaani Unadhihaka???

Wajumbe wengi wa CCM BARA Ndio wanaotaka POSHO zaidi kwasababu UTEUZI wao ULIKUWA sio wa KATIBA ni KUSHIBISHA na Kuneemesha Matumbo yao; Bahati ya kwao ni kuwa RAIS wengi wao MAJINA yao yako kwenye WALLET

Sasa wewe labda USUBIRI MAGARI ya hayo WAJUMBE wa BUNGE toka JAPAN --- Ufanye Uhakiki kama Dr. Slaa napata Moja... HIGH LINE to the GREEDY HOUSE...
 
Dr.Slaa, hawezi kupinga hizo posho historia inamsuta.
 
Ndio inapojithibitisha hoja kwamba W.Slaa(PhD) ni Rais mioyoni mwa watanzania. Angalia kila jambo zito likitokea watu hawana raha hadi wausikie msimamo wake. Hawahitaji msimamo wa Lipumba wala wa Mbatia wala wa Mtatiro wala wa Dovutwa.
 
Back
Top Bottom