PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
Ni hali ya kawaida mvulana kumtongoza msichana, wakikubaliana, mvulana hutenga fedha kwa ajili ya: kununua chakula, vinywaji, nauli, gharama ya chumba (for action), kutoa hela ya vocha ya simu, zawadi n.k. Lakini nimekuwa nikijiuliza, nani anafaidi zaidi? Mwanaume au mwanamke. Tazama hili, mvulana anamaliza first round kati ya dakika 2 - 5. Msichana ni kati ya 5 - 15 - kutegemeana na taaluma ya mvulana/msichana. Hapo nani anastahili kugharamia shughuli hiyo?? Maana katika hali ya kawaida, msichana anaonekana kutumia muda mwingi wa mvulana kuliko mvulana alivyomtumia msichana. Kwetu sisi tuliozoea kulipwa kwa TIME SHEET, then msichana amliupe mvulana. Ndio maana nimeacha kabisa kuridhisha wasichana eti nao wafike mwisho, kama wanataka kufika, basi wanilipe kwa zile dakika kuanzia 5 - 15 kwa kulipia chumba, chips, nyama, soda, nauli, vocha, n.k.
Hapo vipi waungwana??
Hapo vipi waungwana??