Ukinipora utajiri wangu tutamalizana

Ukinipora utajiri wangu tutamalizana

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Sisi sote Ni watu wazima japo kila mtu Ana uchizi wake katika ubongo.hakuna asiyechukiwa ila Kuna siri imejificha haiwezekani mtu mzima atoke tu nyumbani aende kuua watu watano.

Mimi nipate madini yangu halafu muhuni anakuja kunipora na haiendi Serikali inaenda mikono mtu

Mali yangu nitaanza kwanza kukuloga nikiona imeshindikana nakuja kimzaa.
 
Saiz imekuwa ni kawaida wale jamaa kupora mali za watu.
 
Akina hamza mpo wengi kwa maneno ila kwa vitendo atabakia hamza tuuu tutamkumbuka shujaa wetu
 
Back
Top Bottom