Bujibuji mafuriko
Member
- Aug 5, 2022
- 88
- 119
Najua ujanja duniani ni mwingi Sana.
Gari la mkononi ni chombo ambacho usipokuwa makini unapigwa mchana kweupe pee.
Wengine Hadi wanaacha kuagiza Japan au uarabuni ni hofu ya kupigwa.
Mimi ni miongoni mwao. Madam hakuna kampuni nchini itayonohakikishia gari chessis namba flani IPO na mmliki Halali ni Mr x nabaki kuangalia alternatives.
Narudia sipendi kupigwa...nimeish maisha yangu kama ni kupigwa inatoshasana.
Nakumbuka tangu enzi unaambiwa na vibaka mdudu?! Kumbe wanakupiga.
Nimeamua nichukue chima Kwa MTU,
JF ni shule kuu nAelewa.. nilipata kuambiwa hapa uende na namba ya gari ukaichunguze kama sio ya wizi. Lakini bado nipo kwenye Lindi la maswali.
Je nipewe KADI ya gari najua.
Je nikipewa KADI feki? Nipeni maujuzi. Dalali akiuza humuon Tena.
Na je usajili kubadili Jina la umiliki ikibuma?? Makandokando gani yaweza tokea??
Bado ninamaswali mengi.
JF ni shule kuu Msaada wa tahadhari.
Nikinunua gari via dalali wasiwasi hauniishi
Gari la mkononi ni chombo ambacho usipokuwa makini unapigwa mchana kweupe pee.
Wengine Hadi wanaacha kuagiza Japan au uarabuni ni hofu ya kupigwa.
Mimi ni miongoni mwao. Madam hakuna kampuni nchini itayonohakikishia gari chessis namba flani IPO na mmliki Halali ni Mr x nabaki kuangalia alternatives.
Narudia sipendi kupigwa...nimeish maisha yangu kama ni kupigwa inatoshasana.
Nakumbuka tangu enzi unaambiwa na vibaka mdudu?! Kumbe wanakupiga.
Nimeamua nichukue chima Kwa MTU,
JF ni shule kuu nAelewa.. nilipata kuambiwa hapa uende na namba ya gari ukaichunguze kama sio ya wizi. Lakini bado nipo kwenye Lindi la maswali.
Je nipewe KADI ya gari najua.
Je nikipewa KADI feki? Nipeni maujuzi. Dalali akiuza humuon Tena.
Na je usajili kubadili Jina la umiliki ikibuma?? Makandokando gani yaweza tokea??
Bado ninamaswali mengi.
JF ni shule kuu Msaada wa tahadhari.
Nikinunua gari via dalali wasiwasi hauniishi