According to youPombe ni Jela
👀Aisee hapa jamaa wamenikamata wamenituliza,ishu inakujaga nikishakunywa Kilimanjaro mbili tu naanza kwenda na beat ya mziki,mara na simama[emoji4]je we unachezaga unapokuwa baa ukishastua?
Zikishafika Safari Lager Kubwa 5 kichwani zikiwa kavu bila kuzimua na value au Kvantje we unachezaga unapokuwa baa ukishastua?
Huko Russia au sio?Beer huku kwetu ni soft drink. Haina tofauti na soda.
ArushaHuko Russia au sio?
Huko si mnakunywa mbegeArusha
Kwenye uzi wa soft drinksAmbao hatukunywi beer tuna komenti wapi...[emoji848]
nyie msio kunywa beer subiri uzi wenu wa kunywa chai... infact chai zipo zakutosha humu.Ambao hatukunywi beer tuna komenti wapi...🤔
Zikishafika Safari Lager Kubwa 5 kichwani zikiwa kavu bila kuzimua na value au Kvant
Naomba nikuoe plzKilimanjaro 2 [emoji1787][emoji1787] daah..
mi nakunywa safari hata 6 na sisimami nmechill tu