Ukinywa bia ngapi unaanza kucheza mziki?

Yeeeeeeee karibu mkuu lingusenguse, Leo nimekunywa mno ulanzi yaani hapa nimo ndani ya JF bcs ya addiction yangu, mbeta zote nimeonja ,ni special day kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbeta zimekomaa? Ukipata mbeta iyokomaa afu imechongwa vizuri, ulanzi wake unakua na povuu sasa kunoga kwake hapo lyolyolyo,

Ulanzi mtamuuu bhanaaaa.
 
Safari lager Kubwa 7 or Serengeti light 18 or Windhoek za baridi 12 au Black & White 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…