Ukinywa pombe unajiisi Usalama wa Taifa, tukutane hapa

Ukinywa pombe unajiisi Usalama wa Taifa, tukutane hapa

fungi06

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2020
Posts
738
Reaction score
1,017
Apa ni wale ambao akinywa pombe anakua mdadisi sana wa ishu.

Kunae jamaa angu. Kila akinywa pombe utaanza sikia oooh kwani mimi na wewe tushagombana!

Onyo; hakuna onyo lolote
 
Aisee maconfidence kama yote hats Irina hawezi pita mbele yangu akakosa neno kutoka kwangu

Plus kingereza kilichoenda shule
 
Naomba kiwasilisha.....
tapatalk_1486848583856.jpg
 
Ila Pombe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] daah!
 
Mimi huwa naji hisi handsome..done...na bausna japo nime punguzaa...

Huwa nahisi sina shida hata kidogo
 
Kwa kweli mimi nikinywa pombe huwa najihsi tofauti sana

Kuna khali fulani hivi ya kujiamini sana na ya kuchangamuka bila kumukera mtu

Pombe ilinisaidia kuvunja ukimya kwa boss mmoja hivi nikamufata na kumwambia hitaji langu

Wakuu nilipata kazi
 
Kwa kweli mimi nikinywa pombe huwa najihsi tofauti sana

Kuna khali fulani hivi ya kujiamini sana na ya kuchangamuka bila kumukera mtu

Pombe ilinisaidia kuvunja ukimya kwa boss mmoja hivi nikamufata na kumwambia hitaji langu

Wakuu nilipata kazi
Uliondoaje harufu mpaka ajakusanda mkuu

Interested
 
Apa ni wale ambao akinywa pombe anakua mdadisi sana wa ishu.

Kunae jamaa angu. Kila akinywa pombe utaanza sikia oooh kwani mimi na wewe tushagombana!

Onyo; hakuna onyo lolote

Haya naona nia yako ni kwamba tukujue kuwa Wewe upo huko TISS hivyo usihofu na wala usijali tumeshajua na hongera pia kwa kuwepo Idarani.
 
Back
Top Bottom