HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 713
HI MEMBERS,
kuna hii kitu eti mtu akinywa pombe (beer or whisky) na akienda ulingoni, basi yeye atasukuma kabumbu balaa na hata kuwa na mapepe ya kufunga goli mapema. ni kukaba mwanzo mwisho na goli baadaye. hii imekaaje jamani? any observation/comment from practical scenario. najua hapa kuna wale ambao wameshawahi kula tunda wakiwa bwii/wamekunywa...... tafadhari tupeni maelezo.
Regards.
kuna hii kitu eti mtu akinywa pombe (beer or whisky) na akienda ulingoni, basi yeye atasukuma kabumbu balaa na hata kuwa na mapepe ya kufunga goli mapema. ni kukaba mwanzo mwisho na goli baadaye. hii imekaaje jamani? any observation/comment from practical scenario. najua hapa kuna wale ambao wameshawahi kula tunda wakiwa bwii/wamekunywa...... tafadhari tupeni maelezo.
Regards.