Ukiombwa utatoa?

forgive and forget people!
Msaidie ili ajifunze!
 
Namsaidia halafu namtongoza anipe kidudu chake
 
kaka nimependa jinsi ulivyoipa title yako!

tenda wema uende zako wala usisubiri kulipwa fadhila

ila hii peleka jukwaa la picha!
 
Namsaidia then nampa na neno la upendo ili asijisikie vibaya pamoja na kuwa mara ya kwanza alininyima!! akunyimae we mpe tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…