Ndivyo mnavyodanganyana siku hizi nyinyi wanawake??Mnakwama wapi akina dada mnaopotezewa muda na hawa wanaume viruka njia? Yaani una date na mtu mwaka mzima au zaidi halafu haongelei ndoa?
Sasa nawapeni mbinu itakayo walazimisha wawaoe. Mbinu yenyewe simple tu. Daka ujauzito halafu mpe taarifa mapema kabisa kuwa umedaka. Utaona qnatepeta na kuamua kwenda kujitambulisha.
Chezea wewe! Damu nzito kuliko maji.
Nitaleta uzi nikujibu wacha kuwapotosha wenzakoMnakwama wapi akina dada mnaopotezewa muda na hawa wanaume viruka njia? Yaani una date na mtu mwaka mzima au zaidi halafu haongelei ndoa?
Sasa nawapeni mbinu itakayo walazimisha wawaoe. Mbinu yenyewe simple tu. Daka ujauzito halafu mpe taarifa mapema kabisa kuwa umedaka. Utaona qnatepeta na kuamua kwenda kujitambulisha.
Chezea wewe! Damu nzito kuliko maji.
KeHuyu ni me au ke
Mtego huu! hatutaki kuongeza idadi ya single mother wakukusudia.Mnakwama wapi akina dada mnaopotezewa muda na hawa wanaume viruka njia? Yaani una date na mtu mwaka mzima au zaidi halafu haongelei ndoa?
Sasa nawapeni mbinu itakayo walazimisha wawaoe. Mbinu yenyewe simple tu. Daka ujauzito halafu mpe taarifa mapema kabisa kuwa umedaka. Utaona qnatepeta na kuamua kwenda kujitambulisha.
Chezea wewe! Damu nzito kuliko maji.