Ukiona hivi jua umechokwa!!


hii thread haihusiani na maisha yangu binafsi ila ni hali inayoweza kumkuta mtu yoyote..huku niliko hata kwa jirani hakuna PC ndugu!
 
Na dalilo za wewe kumchoka yeye ni hizi:
>kutotoka nae kwny majumba ya starehe
>kutopenda kuongozana nae
>kumgombeza mbele ya watoto au watu wanaomheshimu
>kutomwachia hela ya matumiz etc.
 
Tahadhari:

Haya yote haimaanishi hakupendi, anakupenda sana sema tu kachoka mambo yako yasiyovutia!

na ndo maana kwenye title nimesema ukiona hivi jua umechokwa na sio ukiona hivi jua hupendwi!!
 
Na dalilo za wewe kumchoka yeye ni hizi:
>kutotoka nae kwny majumba ya starehe
>kutopenda kuongozana nae
>kumgombeza mbele ya watoto au watu wanaomheshimu
>kutomwachia hela ya matumiz etc.

well said paka jimmy pokea likes za kusadidika kutoka kwenye kimeo changu cha kichina!
 
Last edited by a moderator:
saa kama umechokwaa we unasubirii niniii
 

Hayo yote uliyoandika hapo juu ndio huwa nayafanya pindi naazisha mahusiano mapya, ili isiwe kero baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…