Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Haaaa haaaa,kaka mkubwa inabidi tu ukirimu ww coz big sisy yuko kitchen nipe tu km hiyo hapo kwenye avatara nikate kiu lol!marhabaa....marhabaa.....usijali radhi yako imepokelewa. Sweetie hebu teta na Canta anatumia kinywaji gani.....eeh
JISIKIE nyumbani
Zimefika bro!ooh mpe pole pia....
Haaaa haaaa,kaka mkubwa inabidi tu ukirimu ww coz big sisy yuko kitchen nipe tu km hiyo hapo kwenye avatara nikate kiu lol!
Nyingine hii hapa
BAK...........naweza kukupa contacts zake....π π
Dah! Utakuwa umefanya la maana sana hahahahaha lol!....niwekee kule kwenye PM ππ...Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wako mkubwa sana ππ
Ubarikiwe sana
Siku na kazi njema