King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Thanks zilikuwa zinaniumiza kichwa kujua ni kina nani maana unaweza ukamkwangua kumbe wasiojulikana akakutolea MGUU WA KUKU.Hayo ni mahari ya shirika la reli(TRC)
Yalikuwepo kuanzia RAA, RAB(Zipo chache bado zinadunda) na saivi nyingine ni RAC
Inaamaanisha UHAMIAJI TANZANIA. Haya hutumiwa na watu wa Idara ya Uhamiaji yaani Immigration DepartmentKuna magari yana namba UT,nayo yanatumiwa na nani? wilson kaiser senior
Wafujaji wa pesa wanatumia magari ya starehe kadri watakavyo1. Namba za Magari Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu
Namba za magari yanayitumika kumbeba Rais au Makamu wa Rais na Waziri Mkuu haziandikwi namba wale herufi katika kibao chake, bali huwa na nembo ya taifa ya Bwana na Bibi. Kwa Kiingereza magari haya hufahamika kama State Cars.
2. Spika wa Bunge la Tanzania na Naibu wake
Spika wa Bunge pia gari lake huwa halina namba kwenye kibao chake bali huwa na herufi S pekee. Gari la Naibu Spika nalo huwa na herufi NS pekee. Maana ya herufi S ni Spika na NS ni Naibu Spika
3. Katibu Mkuu Kiongozi
Katibu Mkuu Kiongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatumia gari ambalo lina kibandiko chenye herufi CS pekee. Ikiwa maana ya CS ni Chief secretary
4. Jaji Mkuu wa Tanzania
Gari la Jaji Mkuu wa Tanzania huwa na herufi JM kwenye kibao chake, Jaji-Mkuu
5. Mkuu wa Majeshi (CDF)
Gari la Mkuu wa Majeshi wa Tanzania katika kibao chake huwa hakuna namba wala herufi zozote bali kunakuwepo na Nyota nne kwenye kibao cha gari lake
6. Waziri na Naibu Waziri wa Wizara mbalimbali
Magari ya Waziri na Manaibu wao huwa na herufi zinazoonyesha cheo (kama ni waziri au Naibu waziri) halafu hufuatia ana vifupisho vya majina ya Wizara zao. Gari la Waziri huwa na herufi W ikifuatia na kifupisho cha jina la Wizara yake. Gari la Naibu waziri huwa na herufi NW ikifuatiwa na kifupisho cha jina la Wizara yake
7. Gari za Serikali za Mitaa
Magari ya Serikali za Mitaa, yanayotumiwa kwenye Serikali hizo. Magari hayo kuwa na kibao chenye Herufi SM zikifuatiwa na namba tofauti tofauti. Serikali-mtaa
8. Magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa
Kibao hiki kinabeba maana kuwa gari husika linamilikiwa na moja ya shirika la umoja wa mataifa. Mfano shirika la Afya Duniani (WHO). Kibao chenye namba inayoanza na herufi T kufuatiwa na namba na herufi CD kisha namba tena.
umoja-mataifa
9. Magari ya balozini Mbalimbali nchi Tanzania
Magari ya Ubalozi nchini Tanzania huanziwa na herufi T kufuatiwa na namba na kisha herufi CD kisha namba. Pia namba hizi hutumiwa na wafanyakazi wa ubalozi husika hata kama ni Watanzania. Mfano wa Ubalozi ni Marekani
balozi-jpg.
10. Shirika la Umma. Mfano; TANESCO, EWURA
Magari yanayotumiwa na mashirika ya Umma huwa na kibao (Plate Number) ambazo huanziwa na herufi SU na kufuatiwa na namba tofauti tofauti kwenye vibao hivyo
shirika-umma
11. Magari kwa ajili ya matumizi ya Miradi inayofadhiliwa na watu to nje ya nchi
Magari yanayotumika kwenye miradi inayofadhiliwa kutoka nje ya nchi kuwa na kibao chenye herufi DFP (Donor's Fund Project) ikifuatiwa na namba tofauti tofauti. Pia tofauti na DFP utakuta mengine yana DFPA
12. Magari ya Police wa Tanzania
Magari ya Polisi nchini Tanzania huwa na kibao chenye kuanziwa na herufi PT (Polisi of Tanzania) halafu hufuatiwa na namba tofauti tofauti mbele yake
13. Magari ya Jeshi la Wananchi Tanzania
Magari ya Jeshi la Tanzania huwa na kibao chenye kuanziwa na namba kadhaa kisha hufuatiwa na herufi JWTZ kisha hufuatiwa na namba tena.
14. Magereza Tanzania
Magari ya Magereza ya Tanzania huwa na kibao chenye kuanziwa na herufi MT kisha hufuatiwa na namba kadhaa mbele yake kwenye kibao cha magari hayo
15. Serikali ya Tanzania
Serikali ya Tanzania ina gari zake tofauti tofauti ambzo hutumika kwa mfano Wilayani au hata kwenye halmashauri. Magari haya huwa na kibandiko chenye Herufi za mwanzo STK au STJ au STL na baada ya hapo hufuatiwa na namba kadhaa mbele
16. Magari ya Wakuu wa Mikoa
Wakuu wa mikoa wote nchi huwa na magari ambayo huwana plate number ka tofauti. Gari la mkuu wa mkoa huwa na kibandiko ambacho kuanza na herufi RC na kisha hufuatiwa na herufi ambazo ni kifupi cha mkoa wake. Herufi RC humaanisha Regional Commisioner. Mfano; RC NJB- Mkuu wa Mkoa Njombe
17. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Serikali ya mapinduzi Zanzibar hutumia magari yenye kibao chenye kuanziwa na herufi SMZ kisha kufuatwa na tarakimu kadhaa. Magari haya hutumika kwenye shuguli za kiserikali hivyo hupewa viongozi wa serikali katika ngazi fulani
18. JR- Jaji wa Mahakama ya Rufaa
19. JK- Jaji Kiongozi
20. J- Jaji wa Mahakama Kuu
AG - Attorney general huyu mwanasheria mkuu wa serikali
21. CGP-Commissioner General of Prison(Mkuu wa Magereza)
22. CAG - Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali
23. Magari ya watu binafsi
Magari ya watu binafsi nchini Tanzania huwa na kibao chenye kuanza na herufi T kisha tarakimu tatu hufuata na baada ya hapo herufi tatu hufuata. Magari haya ya binafsi yanaweza kuwa ya biashara au la.
Pia kwenye magari ya binafsi ambayo sio ya biashara kunauwezekano kuwa na kibandiko ambacho kina jina mtu binafsi.
NYONGEZA:
Magari yote haya huwa pia na tofauti katika rangi za plate number hizo, rangi hizo zinaingiliana sehemu na sehemu;
1. Magari yenye plate number za Rangi ya Njano Namba za Magari Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Spika wa Bunge la Tanzania na Naibu wake Katibu Mkuu Kiongozi Jaji Mkuu wa Tanzania Waziri na Naibu Waziri wa Wizara mbalimbali.
Gari za Serikali za Mitaa
Shirika la Umma. Mfano; TANESCO, EWURA
Serikali ya Tanzania Magari ya Wakuu wa Mikoa
2. Magari yenye plate number za rangi ya Kijani
Magari ya balozini Mbalimbali nchi Tanzania
Magereza Tanzania
3. Magari yenye plate number za rangi nyeusi
Magari ya Police wa Tanzania (Maandishi ya rangi ya njano)
Magari ya Jeshi la Wananchi Tanzania (Maandishi ya rangi nyeupe)
4. Magari yenye plate number za rangi nyekundu
Mkuu wa Majeshi (CDF) (Nyota zilizopo huwa na rangi ya dhahabu)
Magari kwa ajili ya matumizi ya Miradi inayofadhiliwa na watu toka nje ya nchi
5. Magari yenye plate number za rangi nyeupe
Magari kwa ajili ya biashara (Commercial Use)
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
6. Magari yenye plate number za rangi ya bluu Magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa.
TakukuruSikuizi mjini kuna namba flani kibao cheusi alafu namba nyeupe tena zina bendera ya Tz kabisa alafu namba zimekaa ovyo ovyo mfano SX T23J . Ni watu gani hawa?
TakukuruHalafu namba plate nyeusi[emoji3]
Plate namba nyeusi maandishi meusi ni TakukuruNa ile MMM na SG ni za nani,
Alafu kuna hizi zenye namba za Singapore nazo ni za tasisi gani plate namba nyeusi na maandishi ya silver.
Sent from my SM-G973F using JamiiForums mobile app
Wakuu wa wilaya wanatumia gari gani mkuu?Hayo ni mahari ya shirika la reli(TRC)
Yalikuwepo kuanzia RAA, RAB(Zipo chache bado zinadunda) na saivi nyingine ni RAC
Naibu SipikaNishakutana na gari ikiwa na escort ya polisi na nikashindwa kuijua ni ya nani. Kibao chake kilikuwa na herufi NS tu, je ni ya nani?
Mkuu wa wilaya anatumia ST(STK....STJ...STL nk) sana sana wengine wanatumiaga (wnaazima???) Za miradi DFP.....hata kipindi fulani nimemuona Mkuu wa Mkoa wa Dodoma muda mrefu anatumia DFPA mara nyingi huwa wanafanya hivyo kama ile yakwake inashidaWakuu wa wilaya wanatumia gari gani mkuu?
RAC kuna mtu aliniambia ni gari ya mkuu wa wilaya.
Wakuu wa wilaya wanatumia gari gani mkuu?
RAC kuna mtu aliniambia ni gari ya mkuu wa wilaya.
Hayo ni mahari ya shirika la reli(TRC)
Yalikuwepo kuanzia RAA, RAB(Zipo chache bado zinadunda) na saivi nyingine ni RAC
Wpi1. Namba za Magari Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu
Namba za magari yanayitumika kumbeba Rais au Makamu wa Rais na Waziri Mkuu haziandikwi namba wale herufi katika kibao chake, bali huwa na nembo ya taifa ya Bwana na Bibi. Kwa Kiingereza magari haya hufahamika kama State Cars.
2. Spika wa Bunge la Tanzania na Naibu wake
Spika wa Bunge pia gari lake huwa halina namba kwenye kibao chake bali huwa na herufi S pekee. Gari la Naibu Spika nalo huwa na herufi NS pekee. Maana ya herufi S ni Spika na NS ni Naibu Spika
3. Katibu Mkuu Kiongozi
Katibu Mkuu Kiongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatumia gari ambalo lina kibandiko chenye herufi CS pekee. Ikiwa maana ya CS ni Chief secretary
4. Jaji Mkuu wa Tanzania
Gari la Jaji Mkuu wa Tanzania huwa na herufi JM kwenye kibao chake, Jaji-Mkuu
5. Mkuu wa Majeshi (CDF)
Gari la Mkuu wa Majeshi wa Tanzania katika kibao chake huwa hakuna namba wala herufi zozote bali kunakuwepo na Nyota nne kwenye kibao cha gari lake
6. Waziri na Naibu Waziri wa Wizara mbalimbali
Magari ya Waziri na Manaibu wao huwa na herufi zinazoonyesha cheo (kama ni waziri au Naibu waziri) halafu hufuatia ana vifupisho vya majina ya Wizara zao. Gari la Waziri huwa na herufi W ikifuatia na kifupisho cha jina la Wizara yake. Gari la Naibu waziri huwa na herufi NW ikifuatiwa na kifupisho cha jina la Wizara yake
7. Gari za Serikali za Mitaa
Magari ya Serikali za Mitaa, yanayotumiwa kwenye Serikali hizo. Magari hayo kuwa na kibao chenye Herufi SM zikifuatiwa na namba tofauti tofauti. Serikali-mtaa
8. Magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa
Kibao hiki kinabeba maana kuwa gari husika linamilikiwa na moja ya shirika la umoja wa mataifa. Mfano shirika la Afya Duniani (WHO). Kibao chenye namba inayoanza na herufi T kufuatiwa na namba na herufi CD kisha namba tena.
umoja-mataifa
9. Magari ya balozini Mbalimbali nchi Tanzania
Magari ya Ubalozi nchini Tanzania huanziwa na herufi T kufuatiwa na namba na kisha herufi CD kisha namba. Pia namba hizi hutumiwa na wafanyakazi wa ubalozi husika hata kama ni Watanzania. Mfano wa Ubalozi ni Marekani
balozi-jpg.
10. Shirika la Umma. Mfano; TANESCO, EWURA
Magari yanayotumiwa na mashirika ya Umma huwa na kibao (Plate Number) ambazo huanziwa na herufi SU na kufuatiwa na namba tofauti tofauti kwenye vibao hivyo
shirika-umma
11. Magari kwa ajili ya matumizi ya Miradi inayofadhiliwa na watu to nje ya nchi
Magari yanayotumika kwenye miradi inayofadhiliwa kutoka nje ya nchi kuwa na kibao chenye herufi DFP (Donor's Fund Project) ikifuatiwa na namba tofauti tofauti. Pia tofauti na DFP utakuta mengine yana DFPA
12. Magari ya Police wa Tanzania
Magari ya Polisi nchini Tanzania huwa na kibao chenye kuanziwa na herufi PT (Polisi of Tanzania) halafu hufuatiwa na namba tofauti tofauti mbele yake
13. Magari ya Jeshi la Wananchi Tanzania
Magari ya Jeshi la Tanzania huwa na kibao chenye kuanziwa na namba kadhaa kisha hufuatiwa na herufi JWTZ kisha hufuatiwa na namba tena.
14. Magereza Tanzania
Magari ya Magereza ya Tanzania huwa na kibao chenye kuanziwa na herufi MT kisha hufuatiwa na namba kadhaa mbele yake kwenye kibao cha magari hayo
15. Serikali ya Tanzania
Serikali ya Tanzania ina gari zake tofauti tofauti ambzo hutumika kwa mfano Wilayani au hata kwenye halmashauri. Magari haya huwa na kibandiko chenye Herufi za mwanzo STK au STJ au STL na baada ya hapo hufuatiwa na namba kadhaa mbele
16. Magari ya Wakuu wa Mikoa
Wakuu wa mikoa wote nchi huwa na magari ambayo huwana plate number ka tofauti. Gari la mkuu wa mkoa huwa na kibandiko ambacho kuanza na herufi RC na kisha hufuatiwa na herufi ambazo ni kifupi cha mkoa wake. Herufi RC humaanisha Regional Commisioner. Mfano; RC NJB- Mkuu wa Mkoa Njombe
17. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Serikali ya mapinduzi Zanzibar hutumia magari yenye kibao chenye kuanziwa na herufi SMZ kisha kufuatwa na tarakimu kadhaa. Magari haya hutumika kwenye shuguli za kiserikali hivyo hupewa viongozi wa serikali katika ngazi fulani
18. JR- Jaji wa Mahakama ya Rufaa
19. JK- Jaji Kiongozi
20. J- Jaji wa Mahakama Kuu
AG - Attorney general huyu mwanasheria mkuu wa serikali
21. CGP-Commissioner General of Prison(Mkuu wa Magereza)
22. CAG - Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali
23. Magari ya watu binafsi
Magari ya watu binafsi nchini Tanzania huwa na kibao chenye kuanza na herufi T kisha tarakimu tatu hufuata na baada ya hapo herufi tatu hufuata. Magari haya ya binafsi yanaweza kuwa ya biashara au la.
Pia kwenye magari ya binafsi ambayo sio ya biashara kunauwezekano kuwa na kibandiko ambacho kina jina mtu binafsi.
NYONGEZA:
Magari yote haya huwa pia na tofauti katika rangi za plate number hizo, rangi hizo zinaingiliana sehemu na sehemu;
1. Magari yenye plate number za Rangi ya Njano Namba za Magari Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Spika wa Bunge la Tanzania na Naibu wake Katibu Mkuu Kiongozi Jaji Mkuu wa Tanzania Waziri na Naibu Waziri wa Wizara mbalimbali.
Gari za Serikali za Mitaa
Shirika la Umma. Mfano; TANESCO, EWURA
Serikali ya Tanzania Magari ya Wakuu wa Mikoa
2. Magari yenye plate number za rangi ya Kijani
Magari ya balozini Mbalimbali nchi Tanzania
Magereza Tanzania
3. Magari yenye plate number za rangi nyeusi
Magari ya Police wa Tanzania (Maandishi ya rangi ya njano)
Magari ya Jeshi la Wananchi Tanzania (Maandishi ya rangi nyeupe)
4. Magari yenye plate number za rangi nyekundu
Mkuu wa Majeshi (CDF) (Nyota zilizopo huwa na rangi ya dhahabu)
Magari kwa ajili ya matumizi ya Miradi inayofadhiliwa na watu toka nje ya nchi
5. Magari yenye plate number za rangi nyeupe
Magari kwa ajili ya biashara (Commercial Use)
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
6. Magari yenye plate number za rangi ya bluu Magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu mna moyo. Hii kazi yote hii mnapata wapi nguvu ya kuandika kwa mapana hivi ilhali sio business kwamba unapata kipato?
InterpolLeo nimekutana na moja imeandikwa 99 INTER
ni watu gani?