Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
- Thread starter
-
- #121
Ndio ndio mkuu umepatia kabisa.....Umeamkaje mushi!
Hii Ndio maana ya Nantombe Mushi!!!
Hahahahah nilisahamu tu wewe pia MO11 nawe ni kati ya ma pro wa JF.u pro napata wapi wakati Naantombe Mushi ndio anaugawa
Mi sitafuti chochote hata nawashangaa tu wale member wa JF wanaojikamua kutafuta umaarufu/...na wewe unatafuta nini?
Ngoja naandaa vigezo vya ma pro wa JF ntaviweka hapa huenda na wewe umo.Sikuwahi kujua kama kuna ma Pro JF, sijui wanakwalifai kwa vigezo gani?
Kuna fursa ndugu we acha tuWajameni naomba kujuzwa kuwa kuna fursa gani kwa mtu aliye maarufu humu JF....,,
Pole kwa W. J. Malecela kwa kufiwa na mama.
My Signature counts
Hiyo namba 4 hata wewe ni kati ya walengwa kwa mujibu wa title yako..1. Post haihusu mapenzi wala mahusiano anaipeleka jukwaa la MMU. Basi tu ili mradi watu waisome na wamuone.
2. Anapenda kuzua ubishi kwenye thread za watu kwa jambo lisilo na ubishi ili mradi aonekane na yeye basi yupo na watu wamjue.
3. They always go against the trend. Unakuta thread inahusu maloveee anatokea mwehu ana comment "JK FISADI" ili mradi watu wa pay attention.
4. Wanapenda kujidai wanawafaham na wanamazoea na wale members ambao ni ma pro. Utaona tu kaandika comment halafu anajidai kum tag Nyani Ngabu, The Boss, lara 1, Bitoz, Valentina, miss chagga, faiza Fox..... Ndugu yangu wewe Id yako yenyewe ya juzi halafu unajidai eti unawafaham ma pro wa JF... unatafuta kiki.
5 Kila thread lazima acomment hata kama hana cha maana cha kuandika na haimuhusu.
6 Kama ni mwanaume basi atataka aonekane yeye Handsome boy matawi ya juu na kama ni ke basi atatafuta namna tu kwenye comment zake ajioneshe yeye wa moto na ni girl wa ukweeee, kumbe hamna kitu.
Embu ongezeeni nyingine tuwanange watafuta kiki wote wa JF....
Hao uliowatag kwanini usingewataja tu bila kuwatag au unatafuta kiki?
KuleKapernaumu ndo wapi?
Ha haa ngoja nikuitie Nyani Ngabu akwambieWajameni naomba kujuzwa kuwa kuna fursa gani kwa mtu aliye maarufu humu JF....,,
Ha haa ngoja nikuitie Nyani Ngabu akwambie
Kwakweli itabidi tujueNasubiria mpwa.....maana haiwezekani nguvu wanayoitumia vijana kujipatia umaarufu humu jukwaani iwe inaenda bure....lazima kuna namna wananufaika na huko kujulikana humu.....??!!!!
Kwakweli itabidi tujue
Kuna fursa ndugu we acha tu