Ukiona mtu wa hivi JF ujue anatafuta kiki


Kwako babu sina shaka najua kitajaa tuu weye tena mtaalam wa kujaza kwa kuchovya mkate....hehehee

For you am always without..... For you big Sam...
Salamu zako zimefika na zimepokelewa kwa bashasha nzito.

Mie na weye babu mahaba yetu hayaishi yana ahirishwa tuu.... you rock big Sam...
 

Na hili ndilo neno la bwana...

Sifa kwako eeh Kasie
..
 
Nawe pia unatafuta kiki maana katika mfano pia umetag watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…