Ukiona mwanamke kaacha kukupenda, achana naye kabla hujaachwa

Mwanaume usipoteze mda wako kumpenda mtoto wa mtu, mambo ya kufanya ni mengi majukumu shazi..... Akikupa kula akisusa achana nae wapo wengi mno duniani mpaka wanatupita kwa idadi....... So as a man heshimu thamani yako.


Slow down your mind control your lust, utagundua they gat nothing to offer you rather than pussy.

Mwanaume mwenzangu kataa kuwa manipulated na hawa viumbe dhaifu..📌
 
Inawezekana hilo pia ila nadhani sina tena msisimko naye,halitawezekana.
 
Mkuu Kama unanisema mimi yaani ni juzi tu haya yamenikuta. Nimeumia Sana
 
Point 100%
 
Huwa hayamkuti mbuzi 😂

way back kipindi icho ni nice guy.
Kaka hata mimi nilikuwa nice guy ila kwasasa nina "redpill mentality ". Nice guys hawapendwi na si kosa la wanaume kuwa nice guys, ni mfumo ndo uliset hivyo, ulilelewa na wazazi wenye maadili ila hatukuwa na elimu sahihi.
 
Mkuu Kama unanisema mimi yaani ni juzi tu haya yamenikuta. Nimeumia Sana
Pole sana , kuumia ni vizuri maana itakujenga kuwa mwanaume mwenye moyo wa chuma asiye na huruma kwa mwanamke atakayeenda kinyume chako. Usirudie makosa uliyoyafanya kipindi cha nyuma.
Hakikisha kusudi lako linakuwa namba moja na tengeneza mfumo ambao mwanamke atakufuata, kama hataki achana naye, usiwe mtu wa hamu sana ya kuwa naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…