Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upendo unauzwa,Kama una pesa usijali utaupata hata wa ku fake!!Ngoja niutafute huo upendo
Hili nalo neno.Kwa kawaida upendo wa kweli huwa unajiendesha wenyewe hauhitaji kutumia nguvu. Ukiona unatumia nguvu kubwa kuendesha upendo wako kwa mtu. Kuwa na hakika kuwa hupendwi[emoji174]!!
Uzi mfupi lakini una mafunzo makubwa.Kwa kawaida upendo wa kweli huwa unajiendesha wenyewe hauhitaji kutumia nguvu. Ukiona unatumia nguvu kubwa kuendesha upendo wako kwa mtu. Kuwa na hakika kuwa hupendwi[emoji174]!!
Hicho chako ni kisa kamili mkuu, kifungulie uzi tuone namna ilivyokuwa!Imenikuta hiyo mwaka jana, kuna siku nikazinduka tu kutoka usingizi mzito wa kutojitambua, nikakata minyororo ya utumwa nikamove on, sasa naiona thamani yangu.
Na wewe unayempenda mwenzako hakuna picha utaacha onaKwa kawaida upendo wa kweli huwa unajiendesha wenyewe hauhitaji kutumia nguvu. Ukiona unatumia nguvu kubwa kuendesha upendo wako kwa mtu. Kuwa na hakika kuwa hupendwi[emoji174]!!
Kuna mtu analia huko amenyimwa unyumba, aibu hizo.
Wanaume wanaoa makalio na wanawake wanaolewa wapate chakula cha bure, mwisho wa siku ni kuchokana na kuzarauliana