Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
1. Ukiona mdada mzuri sana mtaan au uswahili anafanya kazi haieleweki ama kazi ya kuumiza au kuungua sana na jua. Jiulize maswali mengi sana wengi wanakua ni lost souls either kaungua ama alipata tukio kubwa sana yaani huyo kaamua sasa kutulia
2. Ukiona mdada mzuri mwenye vigezo vyote na umri umeenda hajaolewa ndugu yangu hapo kimbia huyo kuna uwezekano ni jeuri na hawezi ishi na mwanaume
3. Ukiona mdada hafanyi kazi yoyote yaani hana chochote cha kumuingizia kipato ila status zake na page yake ya instagrm imejaa picha nzuri na safari mara Mwanza mara Arusha etc kimbia fasta tena akiwa na mtoto ndo balaa zaidi
4. Ukikutana na mtoto wa kike mwenye vigezo vyote anajitongozesha kimbia haraka sana
5. Ukikuta mdada mzuri sana yuko kwenye biashara fulani either duka au mgahawa au bar wale wa kaunta aisee hawa 100% wanaliwa na ma boss waliowaweka...tena wengn ni michepuko yao ya zaman..hil hata mim nmelifanya
Ntaendelea siku nyingne well kwa wanaume sjachunguza so msiniambie mbona nyi hamjajiongelea.
Well ndio sjajiongelea
Uzi tayari..
Niko mkoan huku nmekuja mara moja kuna vumbi sana mim mtoto wa makala sjazoea kabisa napata tabu sana macho
2. Ukiona mdada mzuri mwenye vigezo vyote na umri umeenda hajaolewa ndugu yangu hapo kimbia huyo kuna uwezekano ni jeuri na hawezi ishi na mwanaume
3. Ukiona mdada hafanyi kazi yoyote yaani hana chochote cha kumuingizia kipato ila status zake na page yake ya instagrm imejaa picha nzuri na safari mara Mwanza mara Arusha etc kimbia fasta tena akiwa na mtoto ndo balaa zaidi
4. Ukikutana na mtoto wa kike mwenye vigezo vyote anajitongozesha kimbia haraka sana
5. Ukikuta mdada mzuri sana yuko kwenye biashara fulani either duka au mgahawa au bar wale wa kaunta aisee hawa 100% wanaliwa na ma boss waliowaweka...tena wengn ni michepuko yao ya zaman..hil hata mim nmelifanya
Ntaendelea siku nyingne well kwa wanaume sjachunguza so msiniambie mbona nyi hamjajiongelea.
Well ndio sjajiongelea
Uzi tayari..
Niko mkoan huku nmekuja mara moja kuna vumbi sana mim mtoto wa makala sjazoea kabisa napata tabu sana macho