Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Shauri yako baba,Huyo kijana wako wa lift namtegeshea ndoa ya mkeka, wewe subiri tu....................................
Kumbe anaitwa baunsa eh! na hivi bado unasoma, namtafutia namna ya kumfungulia kesi ya kumpa lifti binti wa mtu bila idhini ya mzazi..................Lazima nimfunge tu.......................Shauri yako baba,
Hivi unajua km jamaa mwenyewe ni baunsa??!!
Aolewe nani,mie bado mdogo labda km unaitaka jela!
Baba njaa yako ya pesa hiyo itakutokea puan!Kumbe anaitwa baunsa eh! na hivi bado unasoma, namtafutia namna ya kumfungulia kesi ya kumpa lifti binti wa mtu bila idhini ya mzazi..................Lazima nimfunge tu.......................
Sasa tusiovaa "Lebasi za ulimbwende" na kila mara aina ya mavazi ni ile ile inakuwaje? Hatuna hizo 'hatari days'?