Ukiona wapinzani wametulia kimya ujue mema ya nchi wanakula na watawala; Wakibinywa, tabu yao huifanya tabu yetu

Ukiona wapinzani wametulia kimya ujue mema ya nchi wanakula na watawala; Wakibinywa, tabu yao huifanya tabu yetu

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Siyo Tundu lissu wala Mbowe sasa wote wapo kimya hali shwaaari!

Walituaminisha Serikali inafuja pesa kujenga miundombinu, walituaminisha bwawa LA nyerere siyo kipaumbele, walituaminisha utawala awamu ya tano hautoi huduma mhimu kwa wananchi!

Sasa tangu utawala wa awamu ya Sita uwashike mkono wameufyata kimyaa!

Nchi haina maji wapo kimyaaa, nchi iko gizani wapo kimyaaa!

Lakini mambo kama haya yangetokea katika utawala wa Magufuli wangeongea sana na maandiko ya kinafiki kwenye bibilia wangenukuu!

Hakika ukiona wanasiasa wa upinzani wanapiga kelele kubwa! Unga juhudi maana serikali ya namna hiyo huwa inagusa wananchi maslahi yao bila kutumia madalali wa upinzani!
 
Siyo Tundu lissu wala Mbowe sasa wote wapo kimya hali shwaaari!

Walituaminisha Serikali inafuja pesa kujenga miundombinu, walituaminisha bwawa LA nyerere siyo kipaumbele, walituaminisha utawala awamu ya tano hautoi huduma mhimu kwa wananchi!

Sasa tangu utawala wa awamu ya Sita uwashike mkono wameufyata kimyaa!

Nchi haina maji wapo kimyaaa, nchi iko gizani wapo kimyaaa!

Lakini mambo kama haya yangetokea katika utawala wa Magufuli wangeongea sana na maandiko ya kinafiki kwenye bibilia wangenukuu!

Hakika ukiona wanasiasa wa upinzani wanapiga kelele kubwa! Unga juhudi maana serikali ya namna hiyo huwa inagusa wananchi maslahi yao bila kutumia madalali wa upinzani!
Hatq ukiona matajiri wametulia. Awamu iliyopita matajiri na wanasiasa kama Nape walibanwa, wakaanza kulia. Maskini nao bila kujua wanalia nini tukaunga kulia. Leo wanalamba asali. Tukilia hali ngumu wanasema tuamie Burundi!
 
Back
Top Bottom