chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Hizi biashara zetu ijalishi ni biashara gani!
Ila biashara ukiona mnafanya zinafanana na wote mpo eneo moja au soko lenu lipo sehemu mmoja, kubali haya:
• Chuki
• Wivu wa wateja, masoko, kuuza
• Ushirikina
• Kuchongeana kwenye taasisi TRA au idara mbalimbali
• Fitina za kibiashara nyingi kama kashfa
Mimi nilizo nazijua ni hizi
Ila biashara ukiona mnafanya zinafanana na wote mpo eneo moja au soko lenu lipo sehemu mmoja, kubali haya:
• Chuki
• Wivu wa wateja, masoko, kuuza
• Ushirikina
• Kuchongeana kwenye taasisi TRA au idara mbalimbali
• Fitina za kibiashara nyingi kama kashfa
Mimi nilizo nazijua ni hizi