Ukiondoa hewa, mimea mito na ardhi, vitu vingine vyote vimeletwa na CCM

Ukiondoa hewa, mimea mito na ardhi, vitu vingine vyote vimeletwa na CCM

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Ni kichaa tu atakataa! ccm imechukuwa nchi kutoka kwa mkoloni, vitu vyote kuanzia miundombinu, maflyover,mifumo ya umeme, mashule mahospitali, zahanati na madawa, mabohari, mibarabara nchi nzima, mifumo ya kodi na miundombinu ya maji, reli na masoko ya kisasa bila kusahau viwanja vya ndege na mindege yenyewe!

Na viwanja vya michezo nchi nzima, vimeletwa chini ya usimamizi wa CCM, uzi huu ukikuchukiza njoo unipige!
 
Mazungu nayo siku hizi yamekuwa na huruma sana, kwanza yalishindwa vipi kututeketeza majitu meusi kipindi cha ukoloni? Hayaoni kwamba sisi ni kama matakataka hapa duniani kama hili lililo anzisha huu uzi?
 
Umesahau Vichache tu: umasikini, maradhi, ujinga- haya matatu mliyakuta na mkaendelea kuyalea. Mengine ni unafiki, ufisadi, wasiojulikana, nk.
 
ni kichaa tu atakataa! ccm imechukuwa nchi kutoka kwa mkoloni, vitu vyote kuanzia miundombinu,maflyover,mifumo ya umeme,mashule mahospitali,zahanati na madawa,mabohari ,mibarabara nchi nzima,mifumo ya kodi na miundombinu ya maji,reli na masoko ya kisasa bila kusahau viwanja vya ndege na mindege yenyewe !na viwanja vya michezo nchi nzima ,vimeletwa chini ya usimamizi wa ccm ,uzi huu ukikuchukiza njoo unipige!
Uko sahihi maana hata umasikini umeletwa na CCM.

Ila kama ulikuwa hujazaliwa enzi hizo hata historia husomi? Unamjua aliyejenga Muhimbili na Bugando hospital, unamjua aliyejenga Chuo kikuu cha Dar es Salaam unamjua aliyejenga reli ya kati, unamjua aliyejenga Ikulu ya Dsm na mengine mengi tu.
 
Ni kichaa tu atakataa! ccm imechukuwa nchi kutoka kwa mkoloni, vitu vyote kuanzia miundombinu, maflyover,mifumo ya umeme, mashule mahospitali, zahanati na madawa, mabohari, mibarabara nchi nzima, mifumo ya kodi na miundombinu ya maji, reli na masoko ya kisasa bila kusahau viwanja vya ndege na mindege yenyewe! Na viwanja vya michezo nchi nzima, vimeletwa chini ya usimamizi wa CCM, uzi huu ukikuchukiza njoo unipige!
Akili inapokosa akili
 
Hata maskini ana kikombe, na hata pahali pa kujistiri
Hayo sio mambo ya kujisifia kabisa kuwa wameleta maendeleo

Kwa miaka yote hiyo, leo ilikuwa tuwe na income support na hata vilema wangekuwa na mfuko wao, wazee wangejulikana wako wangapi na kuwa na maisha mazuri tu

Mataifa mengine tuna umri sawa ila wanaweza kutulisha na kutuvisha kama watoto

Kuna mengine tuwe na aibu kuyasema
 
Nadhani kama wakoloni wange tawala hadi mwaka 90 tungekua mbali Sana kimaendeleo, kuliko huu umaskini wa kunuka tulio letewa na wakoloni weusi wa mboga mboga
 
Vitu vyote vimeletwa na mkoloni, CCM wanajaribu kuviendeleza tu
Shule, barabara, reli, hospitali, maji, ikulu, nyumba bora, makanisa n.k vyore ni legacy ya mkoloni
 
Back
Top Bottom