jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Uki waona huko barabarani na misafara ya ving'ora na mapolisi uta dhani wako vizuri na wana weza kutetea uhalali wao wa kuongoza nchi. Kumbe ni garasha. Kama ile hotuba ya CongoJana sio mara ya kwanza ni uzoefu wa mara nyingi sana mbogamboga kukimbia midahalo ya live.
Kiufupi hawa jamaa ni vilaza wa kutupwa.
Muwe na jpl njema,hakuna ondoleo la dhambi bila damu ya kristo Yesu.
Chawatozoteka.Jana sio mara ya kwanza ni uzoefu wa mara nyingi sana mbogamboga kukimbia midahalo ya live.
Kiufupi hawa jamaa ni vilaza wa kutupwa.
Muwe na jpl njema,hakuna ondoleo la dhambi bila damu ya kristo Yesu.
Si mnategemea kuiba kura! Kama kweli huwa mnategemea maamuzi ya wapiga kura pekee wala msingekuwa mnakimbia mijadala.Ngoja 2025 ndio mtajua kama mdahalo unapiga na kuhesabu kura
Tunataka Katiba Mpya ili sharti la midahalo liwepo kikatiba!Jana sio mara ya kwanza ni uzoefu wa mara nyingi sana mbogamboga kukimbia midahalo ya live.
Kiufupi hawa jamaa ni vilaza wa kutupwa.
Muwe na jpl njema,hakuna ondoleo la dhambi bila damu ya kristo Yesu.