Chaggabeibe JF-Expert Member Joined May 26, 2016 Posts 249 Reaction score 352 Apr 24, 2022 #1 Habari za jumapili, Ivi Ukiondoka Leo duniani. Utakumbukwa kwa jambo gani?
Sa 7 mchana JF-Expert Member Joined Dec 30, 2018 Posts 5,214 Reaction score 10,276 Apr 24, 2022 #2 Kukumbukwa katika level gani? Familia, ukoo, taifa ama dunia.
Basi Nenda JF-Expert Member Joined Jul 29, 2017 Posts 20,774 Reaction score 47,866 Apr 24, 2022 #3 sijui hasa ila nadhani nitakumbukwa kwa wema kidogo niliyowafanyia baadhi ya watu yani wao ndio watanikumbuka na itakuwa too late
sijui hasa ila nadhani nitakumbukwa kwa wema kidogo niliyowafanyia baadhi ya watu yani wao ndio watanikumbuka na itakuwa too late
Chaggabeibe JF-Expert Member Joined May 26, 2016 Posts 249 Reaction score 352 Apr 24, 2022 Thread starter #4 Sa 7 mchana said: Kukumbukwa katika level gani? Familia, ukoo, taifa ama dunia. Click to expand... Katika level yoyote ile. Iwe familia, ukoo, taifa au dunia
Sa 7 mchana said: Kukumbukwa katika level gani? Familia, ukoo, taifa ama dunia. Click to expand... Katika level yoyote ile. Iwe familia, ukoo, taifa au dunia
Sa 7 mchana JF-Expert Member Joined Dec 30, 2018 Posts 5,214 Reaction score 10,276 Apr 24, 2022 #5 Chaggabeibe said: Katika level yoyote ile. Iwe familia, ukoo, taifa au dunia Click to expand... asante studio
Chaggabeibe said: Katika level yoyote ile. Iwe familia, ukoo, taifa au dunia Click to expand... asante studio
Sa 7 mchana JF-Expert Member Joined Dec 30, 2018 Posts 5,214 Reaction score 10,276 Apr 24, 2022 #6 Mi ndio mtu wa kwanza na pekee kwenye ukoo wetu wa mganga kufika forodhani Zanzibar na kula urojo.
STRUGGLE MAN JF-Expert Member Joined May 31, 2018 Posts 8,633 Reaction score 16,586 Apr 27, 2022 #7 Kuipenda Arsenal
Joseph lebai JF-Expert Member Joined Jul 19, 2017 Posts 8,452 Reaction score 8,670 Apr 27, 2022 #8 "Ubahili"uliotukuka japo sijafanikiwa. Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 May 5, 2022 #9 Wapiga punyeto wenzangu watakuwa wamepata pigo kubwa sana