Ukipata Dola 2,000,000 utafanyia nini?

Ukipata Dola 2,000,000 utafanyia nini?

GooglTVAD

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2020
Posts
231
Reaction score
362
Inasemekana!

Kwa Sasa unaweza ukausaka utajiri na usiufanyie jambo lolote la maana kwenye Jamii!?

Matharani ukipata $2,000,000 utafanyia nini!?

Naomba kuwasilisha
 
Ukiwa mtengeneza matukio unamaanisha nini!?
download (2).jpg
 
Inasemekana!

Kwa Sasa unaweza ukausaka utajiri na usiufanyie jambo lolote la maana kwenye Jamii?

Matharani ukipata $2,000,000 utafanyia nini?

Naomba kuwasilisha
Ni BOT moja kwa moja 😂 wala hakuna kingine zaidi ya kununua Bond. Hio $2M kwa sasa ni sawa na 5.4B za madafu.

Ukipeleka BOT wakakupa 15.9% ni sawa sawa na mgao wa TZS 858,600,000/= kila mwaka kwa 25 years. Hio hela kwa mwezi mwezi tu ni sawa na mtu anaelipwa million 71 kila mwezi😁.

Hapo sipigizani kelele na mtu zaidi ya Gym trainer tu.
 
Ni BOT moja kwa moja 😂 wala hakuna kingine zaidi ya kununua Bond. Hio $2M kwa sasa ni sawa na 5.4B za madafu.

Ukipeleka BOT wakakupa 15.9% ni sawa sawa na mgao wa TZS 858,600,000/= kila mwaka kwa 25 years. Hio hela kwa mwezi mwezi tu ni sawa na mtu anaelipwa million 71 kila mwezi😁.

Hapo sipigizani kelele na mtu zaidi ya Gym trainer tu.
Niki ingia madarakani nawa tapeli bond zenu na amna kitu mtafanya


Ali sikika mlevi mmoja
 
Ni BOT moja kwa moja 😂 wala hakuna kingine zaidi ya kununua Bond. Hio $2M kwa sasa ni sawa na 5.4B za madafu.

Ukipeleka BOT wakakupa 15.9% ni sawa sawa na mgao wa TZS 858,600,000/= kila mwaka kwa 25 years. Hio hela kwa mwezi mwezi tu ni sawa na mtu anaelipwa million 71 kila mwezi😁.

Hapo sipigizani kelele na mtu zaidi ya Gym trainer tu.
Kujenga GYM alikuwa anafikiria yesu tu
 
Back
Top Bottom